Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Oook! Ninku nukuu" Lisemwalo lipo kama halipo basi laja" kwa maneno yako unakubali kuwa serikali hii ni ya kidikiteta maana na hili nalo limesemwa sana.
 
b7566ca5ccdf31e417d1123d4d25ce05.jpg
 
Nafikiri watu wasihangaike sana na huyo Musiba wa familia na mwenyewe.

Watazame malengo ya chapisho yanaasharia nini.

Ukitazama, watu aliowaweka ni wale ambao wamekuwa mstari wa mbele kutumia nafasi zao za siasa, kijamii kuwapa platform watanzania kuongea kwa uhuru.

Nyuma ya bandiko ni mbinu iliyojificha kutaka kujua zaidi kwa kuwataja.

Vile vile kuna viashiria vya technolojia inavyotoa mwanya kwa watu mbalimbali kutoa na kufikisha habari..
 
Musiba ni yule jamaa aliyetangazaga kuwa atampeleka lissu uholanzi kumshataki na akitoa siku mbili afu hadi Leo kimyaa na Jana kaja na mada jingine
 
Huyo kimambi kuna haja ya kunfungulia kesi ya Uhaini ikaendelea in her absence na akala kifungo ; ili akitua tu akutane na mzigo wake. ukimsubiri.
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???

Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?

Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???






View attachment 701577
Musiba anatafuta nafasi wenzake waliokosa wanaonyimwa nafasi ndo kama huyu bwana Bashe hapo chini, mi namuona yupo kwa maono yake kuna kitu anatafuta na si kingine ni pilublicity ni kama hamorapa kwanye siasa

 
Nimelazimika kuangalia hii video.

Kwanza nimecheka sana. Siwezi kumbishia Bwana Msiba maana anaweza kua na sababu zake hata kama ni za kipumbavu ila bado anaziamini kua ni sababu.

Nilichogundua elimu ndogo na uelewa mdogo bado ni changamoto katika jamii yetu, kama huyu alikua mtangazaji na mwandishi wa ha ari basi hii nchi ina matatizo makubwa.

Kwanza Musiba anaonekana hajui au hana ufaham kabisa tofauti kati ya FBI na CIA. Anaituhumu FBI lakini kimantini ni CIA kama kweli anachokisema kiko hivyo, FBI haifanyi kazi za ujasusi na haivuki mipaka ya Marekani, hawa ni polisi wa Marekani na sio taasisi ya kijajusi nje ya Marekani.

Pili, Musiba hata maneno ya kawaida tu yanamshida kuyasarufisha, Uasi yeye anasema ni Uhasi.

Little learning is very hazardous. Stupidity is still common among Tanzanias.
Kwakweli nimejisikia aibu sana kwa hilo hasa km hizi video zitarushwa mpk huko USA, watatuona we Tanzanians hatuko serious watatudharau !kuituhumu FBI inataka kuingilia Usalama wa nchi fulani ni sawa na kusema Polisi ya Tanzania wanaingilia usalama let say wa kenya ? Kwa kweli ametuaibisha kushindwa kujua Shirika la ujasusi la USA ni CIA ameondoa uzito kabisa wa taarifa yake hata km ilikuwa na Mantiki!nafikiri hata hao American hawatajisumbua ku respond kwa hii allegations maana amechemka haswa, mimi sishabikii siasa lkn kwa hili nimesikitishwa sana sipati picha Trump atakavyoendelea kutudharau Africans.
Napendekeza kabla mtu hajafanya Press conference yenye Mlengo wa kimataifa kuwepo na mamlaka itakayo pitia taarifa zake kabla.
 
Nasubiri kauli ya Dk. Abas juu ya hili gazeti kabla sijatoa maoni yangu.

Vv
 
Musiba ni mgonjwa mmoja wa akili aliyetoroka Mirembe. Ni mtu hatari ambaye anastahili kuwa chini ya uangalizi maalum. Popote alipo anatakiwa adhibitiwe kabla hajadhuru watu.
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???

Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?

Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???






View attachment 701577

Hilo ni taaahiraaaa namba moja hapa nchiinii
 
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???

Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???

Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?

Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???






View attachment 701577

Musiba musiba!! Kilaza fulani hivi!! huwezi kumuimpress dictator labda ukubali kutoa mdondo kama bashite!! Unasikia chikaka!! haya nenda ikulu vua suruali pinda kwa mbele; ,mbele ya dictator aku--
 
Back
Top Bottom