Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Kila mkosoaji wa Chadema lazima muulizie wasifu wake..
mtaulizia wananchi wa nchi nzima sasa mkidhani wanatumiwa na CCM
kAMA MNAVYOULIZA URAIYA WA.WAKOSOAJI WA.MZEE.WA.FRASTRATIONS. YULE MUOKOTA VICHWA.VYA TRAIN, MUUZAJI WA.NYUMBA.ZA.UMMA.NA.MNUNUZI WA.VIVUKO NA KUVILELEKA JWTZ?
 
Huyu Cyprian musiba simuelewi. Them yake ninini mfano anaongelea mambo ya Tz kujadiliwa umoja wa ulaya kuhusu ubinywaji wa haki za binadamu anasema eti sio kweli upo kwani vyama pinzani havina nafasi ya kufanya vikao vyao halali wala mikutano yao halali wala kuchangia shughuli yoyote ya maendeleo, hii pia ubinywaji wa democrasia vyama pinzani haitakiwi viwe maadui kwa serikali.
 
Huyu Cyprian musiba simuelewi. Them yake ninini mfano anaongelea mambo ya Tz kujadiliwa umoja wa ulaya kuhusu ubinywaji wa haki za binadamu anasema eti sio kweli upo kwani vyama pinzani havina nafasi ya kufanya vikao vyao halali wala mikutano yao halali wala kuchangia shughuli yoyote ya maendeleo, hii pia ubinywaji wa democrasia vyama pinzani haitakiwi viwe maadui kwa serikali.
Musiba anamjua kiongozi wake, kwa hiyo anajua hayo maneno kiongozi wake anayapenda kwa hiyo anatafuta u DC
 
Musiba anatumika haswa. Angekua hatumiki sheria ingechukua mkondo wake. Taifa jinsi linavyokwenda inahuzunisha sana.
 
Kila mkosoaji wa Chadema lazima muulizie wasifu wake..
mtaulizia wananchi wa nchi nzima sasa mkidhani wanatumiwa na CCM
jingalao ujinga anaofanya musiba lzm una baraka za juu kama dudubaya alitaja list fulani tu akaitwa polisi huyu anaye taja watu hatari kwa taifa mbona hachukuliwi hatua yyte?anyway hata ww ni mtumwa wa B7 za lumumba hapa uko kazini siyo?
 
Siku nikiupata tu wasifu wako.wewe jinga jinga jinga lao.naacha kutumia jf.wewe una akili ndogo sana sana sana mkuu.ndogo kwa maana ya ndogo na ni adui mkubwa wa taifa hili.ulaaniwe wewe na wanaokutuma.shetani
Povu
 
FBI na CIA wenyewe watamnyoosha kwa kuwasingizia Uongo kwani wasipomwadhibu ataendelea kutengeneza Majungu, fitna feki na ujinga ujinga mwingi anaofundishwa na Madalali wa siasa wa CCM.
Vipi walimnyoosha?
 
Huyo n wale Waandsh makanjanja aliyepewa fedha kuanzisha gazeti ili kuchafua watu
 
Kuna jama alichora sipika na waya kitu chakushangaza jamaa walipofuwatilia ule waya akakuta una waya less kufuwatilia mawimbi wakakuta jamaa yupo kwenye network ambayo siorahisi kujuwa chanzo cha mtoa tarifa darkweb
 
Kuna jama alichora sipika na waya kitu chakushangaza jamaa walipofuwatilia ule waya akakuta una waya less kufuwatilia mawimbi wakakuta jamaa yupo kwenye network ambayo siorahisi kujuwa chanzo cha mtoa tarifa darkweb
Ni speaker kuu ya chama cha makinikia, ukitaka kujua mmiliki wa speaker fatilia waya.
 
Anafata nyayo za Mkurya wa dar baada ya kupata tonge upinzani wamesalimika matusi.
Musiba anamjua kiongozi wake, kwa hiyo anajua hayo maneno kiongozi wake anayapenda kwa hiyo anatafuta u DC
 
Kila mkosoaji wa Chadema lazima muulizie wasifu wake..
mtaulizia wananchi wa nchi nzima sasa mkidhani wanatumiwa na CCM
Acha ushamba wako wananchi Nchi nzima hawapo mitandaoni pia kumbuka watanzania wengi hawaipendi CCM hawana Akili ndogo kama zenu na boss wako Musiba
 
Ameitisha press conference na kutaka vikosi vya usalama viwashughulikie bila huruma Mange Lissu,Mbowe,Maria Sarungi,Zitto na wengine WANNE kwa madai ya kuhatarisha usalama wa nchi na kutumiwa na CIA na FBI
Hana kazi anatafuta huruma ya Magu na Bashite
Musiba ni mbumbumbu kilaza na limbukeni Fulani anatumwa na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite pia akina polepole na Boss wa CCM wapo nyuma yake kwa kweli Musiba ni aina ya shetani mpya huko CCM
 
Musiba anatumika haswa. Angekua hatumiki sheria ingechukua mkondo wake. Taifa jinsi linavyokwenda inahuzunisha sana.
Nchi hii sasa inaendeshwa kizushi mbinu za Bashite kuwachanganya watu ili wasahau zile trilion 1.5 walizofuja na mtukufu
 
Musiba ni mbumbumbu kilaza na limbukeni Fulani anatumwa na Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite pia akina polepole na Boss wa CCM wapo nyuma yake kwa kweli Musiba ni aina ya shetani mpya huko CCM
Huyu nu muhuni mmoja tu anatumwa na ikulu
 
Back
Top Bottom