Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Mungu halipi mbali, ila ni Mungu wa Matajiri, kama ni kapuku utakufa na deni lako labda utalipwa MbiguniMUNGU halipi mbali
Basi mbowe amnunue!Marijali wapo wengi tu
Kwanza kabisa tuheshimiane, kama una ugomvi na mimi sema kabisa nijue zaidi ya hapo ukome kabisa kuanza kunihusisha na watu hunijui sikujui Tafadhali ndugu usiombe kuchokonoa himaya zangu....Ati nikamsaidie Musiba kwa misingi ipi wewe,??? Utaumia ndugu, Koma kabisa.Punguza maneno mengi, kamsaidie Musiba kulipia fidia.
Kawadanganye wengine huko. Huo ndio upuuzi, Unawezaje kutofautisha maoni ya mtandao na yale ya TV, we jidannganye tu.Tofautisha maoni ya mtandao na kumchafua mtu hadharani kwenye tv.
Wacha vitisho utamuumiza nani wewe?Kwanza kabisa tuheshimiane, kama una ugomvi na mimi sema kabisa nijue zaidi ya hapo ukome kabisa kuanza kunihusisha na watu hunijui sikujui Tafadhali ndugu usiombe kuchokonoa himaya zangu....Ati nikamsaidie Musiba kwa misingi ipi wewe,??? Utaumia ndugu, Koma kabisa.
Kawadanganye wengine huko. Huo ndio upuuzi, Unawezaje kutofautisha maoni ya mtandao na yale ya TV, we jidannganye tu.
Yule case yake iko kwenye mahakama zabZanzibari kwaiyo hadi siku jamaa aji changanye aende zenjiHuyu mwaka huu kama hawajampakata wahuni sijui!!!
Yule mtetezi wa lgbtq wa kizanzibaa mtoto wa mstaafu alishampa chake?maana nakumbuka kusoma humu nae alitakiwa kulipwa
Muombee basi kwa MrAnazo?
Utatulia tu kuja kuparamia wanaume hapa. Tulia, nani aliyekuja kumzoea mwenzake hapa.??Tuliza Makalio mwenyewe. Usinizoee.
Ukome na ulegee popote ulipo, unaenda kuumia. We chezea hizi himaya.Sikuwa na jibishana na wewe. Nakusii utulie tu....kama nimekukwoti twaweza jibishana kama kuna open reply poa tu, ila nikiwa najibishana na mtu mwingine hapa wewe tuliza makalio hayo. Tulia kabisa ndugu, naona unaanza kuuparamia paramia tu. Tulia.
Ahsante kwa majibu. Tulia
Kwani aliyekuwa anamtuma hakumwachia FUNGU?Mahakama imetoa siku 14 tu Musiba awe amemlipa mzee Membe.
Ikumbuwe mzee Membe alishinda kesi na mahakama ikamuamuru Musiba kumlipa.
Sasa naona ndiyo kumekucha na naiona hata ile hukumu ya Fatuma Karume nayo itaibuka muda siyo mrefu.View attachment 2589355
Aliyekuwa anamtuma alichukuliwa gafla hata wosia hakuandikaKwani aliyekuwa anamtuma hakumwachia FUNGU?
Kwahiyo hili kwako siyo kazi ya mahakama?Haya tu ndiyo yanayowezwa na mahakama zetu. Kuwashughulikia mafisadi na wapigaji ni impossible kwao. Shame!
KimyaaaaaSiku hizi jamaa kiherehere chote kimemwisha...
Watu wazuri hawafi 😅Mahakama imetoa siku 14 tu Musiba awe amemlipa mzee Membe.
Ikumbuwe mzee Membe alishinda kesi na mahakama ikamuamuru Musiba kumlipa.
Sasa naona ndiyo kumekucha na naiona hata ile hukumu ya Fatuma Karume nayo itaibuka muda siyo mrefu.View attachment 2589355
Nikipindi cha sukuma gang waliofanya uharifu kuwajibishwaHa Ha Ha Mama Anaweza Akawapa Juice Wakanywa Pamoja Wakatoka Meno 30 Nje.
Vuguvgu Lote Hili La Ngosha V/s Msoga Wenda Tunaibiwa Muda.
Wacha Tuone Analipwaje Hyo 9.B
Makamba alitoa ya moyoniWatu wazuri hawafi [emoji28]
Ni sawa na bilioni 10 kwa sababu Ni 9.92Watazipata wapi 9 billion?View attachment 2589369