Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ruzuku ndiyo tatizo Mbowe anaona anaenda kuikosaNa bado tunamhitaji Mwambukusi na Mdude pale. Lazima tuondokane na utawala wa kikundi kidogo cha watu. 🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruzuku ndiyo tatizo Mbowe anaona anaenda kuikosaNa bado tunamhitaji Mwambukusi na Mdude pale. Lazima tuondokane na utawala wa kikundi kidogo cha watu. 🤓
hakika.Mwanaharakati huru Cyprian Musiba akitoa maoni yake kuhusiana na uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
"Freeman Mbowe sio tough (mgumu) vile, sababu Mbowe mnaweza mkazungumza, Wenje mnaweza mkazungumza na mambo yakaenda na mkapeleka nchi yenu mbele."
"Lakini wale jamaa wawili (Tundu Lissu na John Heche), Mkurya wa Mara na huyu jamaa wa Singida mtani wake wakikaa pamoja ni hatari. Lazima tuwe wakweli ujio wa John Heche sio jambo dogo, kwahiyo combination (muungano/umoja) ya Lissu na Heche lazima huku CCM tutafakari sana kwa sababu ya misimamo yao, Mbowe na Wenje misimamo yao ya kawaida." - Musiba.
View attachment 3199458
aiseee mbona patawaka moto na tunawaomba polisi wetu watende haki wakae pembeni hatakama wanaona ccm inaangushwa Tanzania itabaki kusimama tu imara chini ya chademaNa bado tunamhitaji Mwambukusi na Mdude pale. Lazima tuondokane na utawala wa kikundi kidogo cha watu. 🤓
Musiba ni Chawa wa Lissu huyuMwanaharakati huru Cyprian Musiba akitoa maoni yake kuhusiana na uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
"Freeman Mbowe sio tough (mgumu) vile, sababu Mbowe mnaweza mkazungumza, Wenje mnaweza mkazungumza na mambo yakaenda na mkapeleka nchi yenu mbele."
"Lakini wale jamaa wawili (Tundu Lissu na John Heche), Mkurya wa Mara na huyu jamaa wa Singida mtani wake wakikaa pamoja ni hatari. Lazima tuwe wakweli ujio wa John Heche sio jambo dogo, kwahiyo combination (muungano/umoja) ya Lissu na Heche lazima huku CCM tutafakari sana kwa sababu ya misimamo yao, Mbowe na Wenje misimamo yao ya kawaida." - Musiba.
View attachment 3199458
wewe ccm unaijua? hiyo combination haiwezi kuwasumbua ccm kwanza hao jamaa hawana akili wala mbinu za kisiasa,ni watu wa fujo na vuruguMwanaharakati huru Cyprian Musiba akitoa maoni yake kuhusiana na uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
"Freeman Mbowe sio tough (mgumu) vile, sababu Mbowe mnaweza mkazungumza, Wenje mnaweza mkazungumza na mambo yakaenda na mkapeleka nchi yenu mbele."
"Lakini wale jamaa wawili (Tundu Lissu na John Heche), Mkurya wa Mara na huyu jamaa wa Singida mtani wake wakikaa pamoja ni hatari. Lazima tuwe wakweli ujio wa John Heche sio jambo dogo, kwahiyo combination (muungano/umoja) ya Lissu na Heche lazima huku CCM tutafakari sana kwa sababu ya misimamo yao, Mbowe na Wenje misimamo yao ya kawaida." - Musiba.
View attachment 3199458