Pre GE2025 Cyprian Musiba: Muunganiko wa Heche na Lissu itatupa tabu CCM, Mbowe sio mgumu

Pre GE2025 Cyprian Musiba: Muunganiko wa Heche na Lissu itatupa tabu CCM, Mbowe sio mgumu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Musiba bwana!!

Badala asalimie aeleze habari za alikokuwa anaanza mojakwa moja na mada. Haya tumekusikia. Akilo imeridi kichwani. Tuambie za huko mafichoni!!

Ananikumbusha wimbo wa ntoke vipi!!
 
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba akitoa maoni yake kuhusiana na uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

"Freeman Mbowe sio tough (mgumu) vile, sababu Mbowe mnaweza mkazungumza, Wenje mnaweza mkazungumza na mambo yakaenda na mkapeleka nchi yenu mbele."

"Lakini wale jamaa wawili (Tundu Lissu na John Heche), Mkurya wa Mara na huyu jamaa wa Singida mtani wake wakikaa pamoja ni hatari. Lazima tuwe wakweli ujio wa John Heche sio jambo dogo, kwahiyo combination (muungano/umoja) ya Lissu na Heche lazima huku CCM tutafakari sana kwa sababu ya misimamo yao, Mbowe na Wenje misimamo yao ya kawaida." - Musiba.
View attachment 3199458
hakika.
sasa hivi ni mwendo wa kufanya Siasa za JINO KWA JINO JICHO KWA JICHO JERAHA KWA JERAHA na KUCHOMWA MOTO KWA KUCHOMWA MOTO hadi kieleweke.
 
Na bado tunamhitaji Mwambukusi na Mdude pale. Lazima tuondokane na utawala wa kikundi kidogo cha watu. 🤓
aiseee mbona patawaka moto na tunawaomba polisi wetu watende haki wakae pembeni hatakama wanaona ccm inaangushwa Tanzania itabaki kusimama tu imara chini ya chadema
 
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba akitoa maoni yake kuhusiana na uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

"Freeman Mbowe sio tough (mgumu) vile, sababu Mbowe mnaweza mkazungumza, Wenje mnaweza mkazungumza na mambo yakaenda na mkapeleka nchi yenu mbele."

"Lakini wale jamaa wawili (Tundu Lissu na John Heche), Mkurya wa Mara na huyu jamaa wa Singida mtani wake wakikaa pamoja ni hatari. Lazima tuwe wakweli ujio wa John Heche sio jambo dogo, kwahiyo combination (muungano/umoja) ya Lissu na Heche lazima huku CCM tutafakari sana kwa sababu ya misimamo yao, Mbowe na Wenje misimamo yao ya kawaida." - Musiba.
View attachment 3199458
Musiba ni Chawa wa Lissu huyu
 
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba akitoa maoni yake kuhusiana na uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

"Freeman Mbowe sio tough (mgumu) vile, sababu Mbowe mnaweza mkazungumza, Wenje mnaweza mkazungumza na mambo yakaenda na mkapeleka nchi yenu mbele."

"Lakini wale jamaa wawili (Tundu Lissu na John Heche), Mkurya wa Mara na huyu jamaa wa Singida mtani wake wakikaa pamoja ni hatari. Lazima tuwe wakweli ujio wa John Heche sio jambo dogo, kwahiyo combination (muungano/umoja) ya Lissu na Heche lazima huku CCM tutafakari sana kwa sababu ya misimamo yao, Mbowe na Wenje misimamo yao ya kawaida." - Musiba.
View attachment 3199458
wewe ccm unaijua? hiyo combination haiwezi kuwasumbua ccm kwanza hao jamaa hawana akili wala mbinu za kisiasa,ni watu wa fujo na vurugu
 
Back
Top Bottom