Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa hivi karibuni alidokeza kuwa hakubaliani na dhana ya kwamba uwekezaji wa Taifa la China barani Afrika unapelekea bara hili katika "mtego wa madeni,"
Ramaphosa alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa kilele cha China na Afrika huko Beijing, ambapo wajumbe kutoka zaidi ya mataifa 50 ya Afrika walikusanyika wiki hii.
Ramaphosa alisema hayo, alipoulizwa na waandishi wa habari kuhusu ahadi ya China kwenye mkutano wa kutoa $51 bilioni katika ufadhili mpya kwa Afrika.
Source: Reuters
Ramaphosa alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa kilele cha China na Afrika huko Beijing, ambapo wajumbe kutoka zaidi ya mataifa 50 ya Afrika walikusanyika wiki hii.
"Sikubaliani na dhana ya kwamba China (inapowekeza) ina nia ya kuhakikisha kwamba nchi hizo mwisho wake zinaishia katika mtego wa deni au katika mgogoro wa deni,"
Ramaphosa alisema hayo, alipoulizwa na waandishi wa habari kuhusu ahadi ya China kwenye mkutano wa kutoa $51 bilioni katika ufadhili mpya kwa Afrika.
Source: Reuters