D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Nadhani FBI walichoshindwa kukijua ni kwa namna gani D.B. Cooper aliweza kutoka kwenye ndege ile, kwa sababu inaonekana wazi kuwa Hakuruka na parachute siku ile! Na kama D.B. Cooper aliweza kuplan mpango huu na kuufanikisha kwa 100% ni Dhahiri kwamba si peke yake aliyehusika! Kuna uwezekano mkubwa watu kadhaa ndani au nje ya ndege ile walihusika!
 
Siajabu huyo Cooper hata hakuruka na parachute....labda alikuja kujishukia kimya kimya wakati watu wanahangaika kutafuta ziwani na porini....

Very interesting...

Hela kazitumia wapi?..hapo ndio kazi ipo, miaka yote hy ?
 
Hapo naona db cooper mwenyewe hakuondoka na ndege bali alishuka na mateka baada ya kupewa mshiko wake...
Then marubani na engineer wa ndege walikula mchongo wakatoa false testimon na wakatengeneza mazingira ili ionekane kuwa db cooper aliruka na parachuti...
Maana isingekua rahisi kwa cooper kuruka na wakati kuna ndege mbili za kijeshi juu na chini alafu asionekane..

Hapo lazima kuna mchezo kati ya marubani na fbi ft cooper the boss.


Mtazamo wangu tu huo

Nadhani FBI walichoshindwa kukijua ni kwa namna gani D.B. Cooper aliweza kutoka kwenye ndege ile, kwa sababu inaonekana wazi kuwa Hakuruka na parachute siku ile! Na kama D.B. Cooper aliweza kuplan mpango huu na kuufanikisha kwa 100% ni Dhahiri kwamba si peke yake aliyehusika! Kuna uwezekano mkubwa watu kadhaa ndani au nje ya ndege ile walihusika!

Inawezekana,lkn miaka yote hy hizo hela hawakuzitumia?maana walichukua namba za hela ili ku track,BTW napenda watu km D.B.Copper... Thanks@The Bold Mungu akubariki,utuwekee vitu zaidi
 
Back
Top Bottom