Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Nimeshindwa kulalaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani zifike kwako mkuu!Asanteni kwa kusubiri! Nyongeza ya mwisho tayari, imeanzia #8
Siajabu huyo Cooper hata hakuruka na parachute....labda alikuja kujishukia kimya kimya wakati watu wanahangaika kutafuta ziwani na porini....
Very interesting...
Hapo naona db cooper mwenyewe hakuondoka na ndege bali alishuka na mateka baada ya kupewa mshiko wake...
Then marubani na engineer wa ndege walikula mchongo wakatoa false testimon na wakatengeneza mazingira ili ionekane kuwa db cooper aliruka na parachuti...
Maana isingekua rahisi kwa cooper kuruka na wakati kuna ndege mbili za kijeshi juu na chini alafu asionekane..
Hapo lazima kuna mchezo kati ya marubani na fbi ft cooper the boss.
Mtazamo wangu tu huo
Nadhani FBI walichoshindwa kukijua ni kwa namna gani D.B. Cooper aliweza kutoka kwenye ndege ile, kwa sababu inaonekana wazi kuwa Hakuruka na parachute siku ile! Na kama D.B. Cooper aliweza kuplan mpango huu na kuufanikisha kwa 100% ni Dhahiri kwamba si peke yake aliyehusika! Kuna uwezekano mkubwa watu kadhaa ndani au nje ya ndege ile walihusika!
[emoji16] [emoji16] [emoji16] hivi njie wapuuzi lini mtaelewa, una quote uzi mzima kwa haya maneno mawili[emoji53] [emoji53] [emoji53] una akilj za namna gani???Duh hatar
duh we jamaa! Hivi hujiulizi kabisa unapo-quote thread nzima na kujibu kwa neno moja ina maana hujui ni kitu gani kinawapata wasomaji wengine?Duh hatar
Acha wivu wa kike! Unamkatisha tamaa mleta thread na link lako au ulidhani hatujui kuitafuta huko google?
HAHAHAA POLENI WAKUUKuwa na chembe walau ndogo ya ustaarabu..unaquote stor yote kwa mistar yako miwili ..shwain
POLEyaani unaqoute thread yote kwa sentensi mbili?
NOTEDsiku nyingine usiquote kabisa maelezo marefu namna hii. Unatuumiza sana tunaotumia simu za button.
Salute comradeAsanteni kwa kusubiri! Nyongeza ya mwisho tayari, imeanzia #8
Kuna watu watakuja hapa na kuiiba na kwenda kuitoa kwenye magazeti! usishangae kesho ukaikuta hii story yote kwenye magazetiMkuu The bold naomba ukimaliza hii endelea kutusimulia kingine
una kipaji cha kusimulia.....kinoe hiko kipaji uweze hata kuandika vitabu
hata vya kutafsiri tu