SioHuyu ndio yule mtoto wa banza stone?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SioHuyu ndio yule mtoto wa banza stone?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣haniiiiHani wangu nampenda
Anaisokomeza humo
Na akinibinua kiuno
Ninampatia miguno
Miguno miguno
Mibuno mibuno
Hani Hani
Hani wangu nampenda
Anaisokomeza humo
Na akinibinua kiuno
Ninampatia miguno
Miguno miguno
Mibuno mibuno
Hani Hani
Mtunzi wa haya maneno hana wazazi ?Hani wangu nampenda
Anaisokomeza humo
Na akinibinua kiuno
Ninampatia miguno
Miguno miguno
Mibuno mibuno
Hani Hani
Hako katoto ni cha kike au kiume ?Sema Madogo wenyewe walaini laini
Hata haelewekiHako katoto ni cha kike au kiume ?
WanachofanyaWCB ni kitukizuri sana.Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Hatimaye ile ndoto ya muda mrefu ya msanii wa singeli kutokea Temeke ukipenda muite London boy D voice jinii inakaribia kutimia siku chache zijazo.
Msanii D voice yupo wasafi muda mrefu sana, kula yake, vaa yake mpaka sehemu anapoishi yote ipo chini ya wasafi.
D voice ameshawahi kutamba na ngoma kadhaa kama vile kuachana Sh ngapi aliyomshirikisha Barnaba Classic, Mchanganyiko aliyomshirikisha Baddest.
Pia aliwahi kutamba na wimbo wa madanga ya mke wangu alioshirikishwa na Meja Kunta.
D Voice aliachana na management yake ya awali mwishoni mwa mwaka jana hivyo Wasafi wakaona wasiache hiki kipaji kipotee hivi hivi wakaamua kumchukua na mpaka sasa yupo mikononi mwao anasuburiwa tu kutambulishwa rasmi hiyo tarehe 16.
Ukimya wake D Voice utakuwa na kishindo kikuu.
Kila la heri kwake ila asianze kuwavimbia wenzake awe kama mwanzo na tabia ile ile ya kuwaheshimu wenzake walimtangulia kwenye muziki wa singeli.
View attachment 2809689
Kamuulize 😆🤪Mtunzi wa haya maneno hana wazazi ?
Marvin's, Don JazzWanachofanyaWCB ni kitukizuri sana.
Inawezekana wana mapungufu ya kimuubdo hususani eneo la mikataba kwa wasanii wao. Sisi wadau tutatumia weledi wetu kuwaelimisha waweze kusajili vijana wengi zaidi.
Sekta inayokua inahitaji kuungwa mkono, kushauriwa na hata kushindanishwa na siyo kuzimishwa
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Hatimaye ile ndoto ya muda mrefu ya msanii wa singeli kutokea Temeke ukipenda muite London boy D voice jinii inakaribia kutimia siku chache zijazo.
Msanii D voice yupo wasafi muda mrefu sana, kula yake, vaa yake mpaka sehemu anapoishi yote ipo chini ya wasafi.
D voice ameshawahi kutamba na ngoma kadhaa kama vile kuachana Sh ngapi aliyomshirikisha Barnaba Classic, Mchanganyiko aliyomshirikisha Baddest.
Pia aliwahi kutamba na wimbo wa madanga ya mke wangu alioshirikishwa na Meja Kunta.
D Voice aliachana na management yake ya awali mwishoni mwa mwaka jana hivyo Wasafi wakaona wasiache hiki kipaji kipotee hivi hivi wakaamua kumchukua na mpaka sasa yupo mikononi mwao anasuburiwa tu kutambulishwa rasmi hiyo tarehe 16.
Ukimya wake D Voice utakuwa na kishindo kikuu.
Kila la heri kwake ila asianze kuwavimbia wenzake awe kama mwanzo na tabia ile ile ya kuwaheshimu wenzake walimtangulia kwenye muziki wa singeli.
View attachment 2809689
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dogo yupo mikono Salama ,walishaanza kumpa maisha kitamboMbona katoto karembo sana?wasikaharibu tu huko
AiseeDogo ataenda kufundishwa jinsi ya kuwa na mahawara tu! na kuzaa zaa ovyo kama wenzake huo ndiyo ukweli. Vijana wote pale ni wahuni tu hawaeleweki! uhuni ndiyo ujanja. Kama ni mtoto wangu ningemtafutia label zenye uwezo wa kuendeleza watu wadogo