D Voice amebakisha siku chache kutambulishwa WCB, dogo ameshaula tayari

D Voice amebakisha siku chache kutambulishwa WCB, dogo ameshaula tayari

Hani wangu nampenda
Anaisokomeza humo
Na akinibinua kiuno
Ninampatia miguno
Miguno miguno
Mibuno mibuno

Hani Hani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]alisemwa sana anaimba Taarab sasa katuamulia tutakoma
 
kumbe miaka 34 na ndevu za mvi kweli mimi mzee.

simjui kabisa huyu kijana.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.

Hatimaye ile ndoto ya muda mrefu ya msanii wa singeli kutokea Temeke ukipenda muite London boy D voice jinii inakaribia kutimia siku chache zijazo.

Msanii D voice yupo wasafi muda mrefu sana, kula yake, vaa yake mpaka sehemu anapoishi yote ipo chini ya wasafi.

D voice ameshawahi kutamba na ngoma kadhaa kama vile kuachana Sh ngapi aliyomshirikisha Barnaba Classic, Mchanganyiko aliyomshirikisha Baddest.

Pia aliwahi kutamba na wimbo wa madanga ya mke wangu alioshirikishwa na Meja Kunta.

D Voice aliachana na management yake ya awali mwishoni mwa mwaka jana hivyo Wasafi wakaona wasiache hiki kipaji kipotee hivi hivi wakaamua kumchukua na mpaka sasa yupo mikononi mwao anasuburiwa tu kutambulishwa rasmi hiyo tarehe 16.

Ukimya wake D Voice utakuwa na kishindo kikuu.

Kila la heri kwake ila asianze kuwavimbia wenzake awe kama mwanzo na tabia ile ile ya kuwaheshimu wenzake walimtangulia kwenye muziki wa singeli.


View attachment 2809689
WanachofanyaWCB ni kitukizuri sana.

Inawezekana wana mapungufu ya kimuubdo hususani eneo la mikataba kwa wasanii wao. Sisi wadau tutatumia weledi wetu kuwaelimisha waweze kusajili vijana wengi zaidi.

Sekta inayokua inahitaji kuungwa mkono, kushauriwa na hata kushindanishwa na siyo kuzimishwa
 
WanachofanyaWCB ni kitukizuri sana.

Inawezekana wana mapungufu ya kimuubdo hususani eneo la mikataba kwa wasanii wao. Sisi wadau tutatumia weledi wetu kuwaelimisha waweze kusajili vijana wengi zaidi.

Sekta inayokua inahitaji kuungwa mkono, kushauriwa na hata kushindanishwa na siyo kuzimishwa
Marvin's, Don Jazz
 
Nawashauri pia wamsajili msanii mkali wa muziki wa Taarabu ambaye pia ni kada wa ACT, Ndugu Wakazi.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.

Hatimaye ile ndoto ya muda mrefu ya msanii wa singeli kutokea Temeke ukipenda muite London boy D voice jinii inakaribia kutimia siku chache zijazo.

Msanii D voice yupo wasafi muda mrefu sana, kula yake, vaa yake mpaka sehemu anapoishi yote ipo chini ya wasafi.

D voice ameshawahi kutamba na ngoma kadhaa kama vile kuachana Sh ngapi aliyomshirikisha Barnaba Classic, Mchanganyiko aliyomshirikisha Baddest.

Pia aliwahi kutamba na wimbo wa madanga ya mke wangu alioshirikishwa na Meja Kunta.

D Voice aliachana na management yake ya awali mwishoni mwa mwaka jana hivyo Wasafi wakaona wasiache hiki kipaji kipotee hivi hivi wakaamua kumchukua na mpaka sasa yupo mikononi mwao anasuburiwa tu kutambulishwa rasmi hiyo tarehe 16.

Ukimya wake D Voice utakuwa na kishindo kikuu.

Kila la heri kwake ila asianze kuwavimbia wenzake awe kama mwanzo na tabia ile ile ya kuwaheshimu wenzake walimtangulia kwenye muziki wa singeli.


View attachment 2809689


Dogo ataenda kufundishwa jinsi ya kuwa na mahawara tu! na kuzaa zaa ovyo kama wenzake huo ndiyo ukweli. Vijana wote pale ni wahuni tu hawaeleweki! uhuni ndiyo ujanja. Kama ni mtoto wangu ningemtafutia label zenye uwezo wa kuendeleza watu wadogo
 
Dogo ataenda kufundishwa jinsi ya kuwa na mahawara tu! na kuzaa zaa ovyo kama wenzake huo ndiyo ukweli. Vijana wote pale ni wahuni tu hawaeleweki! uhuni ndiyo ujanja. Kama ni mtoto wangu ningemtafutia label zenye uwezo wa kuendeleza watu wadogo
Aisee
 
Back
Top Bottom