🤣🤣🤣🤣🤣Nawashauri pia wamsajili msanii mkali wa muziki wa Taarabu ambaye pia ni kada wa ACT, Ndugu Wakazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Nawashauri pia wamsajili msanii mkali wa muziki wa Taarabu ambaye pia ni kada wa ACT, Ndugu Wakazi.
Wenzake wanapambana watoke yeye anataka kuuvaa mkenge mboso anatamani atoke ila hana jinsi inabidi apambane tu.Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Hatimaye ile ndoto ya muda mrefu ya msanii wa singeli kutokea Temeke ukipenda muite London boy D voice jinii inakaribia kutimia siku chache zijazo...
Km label gani?Dogo ataenda kufundishwa jinsi ya kuwa na mahawara tu! na kuzaa zaa ovyo kama wenzake huo ndiyo ukweli. Vijana wote pale ni wahuni tu hawaeleweki! uhuni ndiyo ujanja. Kama ni mtoto wangu ningemtafutia label zenye uwezo wa kuendeleza watu wadogo
Wenzake wanapambana watoke yeye anataka kuuvaa mkenge mboso anatamani atoke ila hana jinsi inabidi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Km label gani?
...Aangalie asipinduke...
Sisikilizagi singeli ila huyu kijana alinifanya kuachana shingi ngapi niiweke kwenye play list.Hatimaye kimeeleweka
Wee angalia siri za familia huko..music industry tuachie...Wakiume au wakike? Nyimbo zake za awali ni zipi?
Kijana yupo vizuri.Ila kijana anajua, Mungu amshikilie afike atakapo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wee angalia siri za familia huko..music industry tuachie...
😂😂😂😂🙌Kwanini kashika mdoli?