D Voice apewa cheni na pete za million 150

Huyo ni Chawa wa Usafini. Anapewa cheni ya 150M na kupangishiwa nyumba? Hiyo 150M si bora wamjengee nyumba? Cheni itamsaidia nini na umri wake bado mdogo? Chai hii.
Hii imeenda kwa faida ya baadaye.
 
Anapewa chain ya 150m halafu anaenda kupanga nyumba ya mil 120 analipa kodi.
 
The dark industries
Football
Music
Movie

It's dangerous.
 
Hawa wasanii kizaz hiki wanapenda ongeza sifuri

Ova

Wanatuzingua sana ,hiyo 150m(kama kweli) si bora angenunua nyumba ya 145m halafu 2m akanunua "Machuma" akavaa shingoni na mikononi...3m akafanyia mambo mengine.
 
The dark industries
Football
Music
Movie

It's dangerous.
Ulikuwa shabiki mkubwa wa ali kiba baadae harmonize....uliwapenda hao jamaa au kwa kuwa walionesha upunzan kwa diamond na team yake?
 
Ulikuwa shabiki mkubwa wa ali kiba baadae harmonize....uliwapenda hao jamaa au kwa kuwa walionesha upunzan kwa diamond na team yake?
Haijalishi wote ni mkumbo mmoja hapa ushabiki nimeweka pembeni.
 
Wanatuzingua sana ,hiyo 150m(kama kweli) si bora angenunua nyumba ya 145m halafu 2m akanunua "Machuma" akavaa shingoni na mikononi...3m akafanyia mambo mengine.
Na watoto sahv wakisikia stori hizi
Hata shule hawataki wote wanataka kuwa wasanii
Hii nchi inaelekea kuwa kama kongo
Wakata mauno wengi watajaaa

Ova
 
Bure kabisa...
Wacha vijana mabishoo wanaowababakia hawa jamaa wawe mashoga...
HOVYO...
 
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
 
Sijui Kwa Nini mmependa ulivojibu
 
Wadanandaaa!!!hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…