D Voice ndio future ya muziki wa bongo: Wasanii wa kibongo kazini kwao kuna kazi

Ila huyu dada ni pisi. Sifuatilii mziki ila nashauri akajaribu na Miss Tanzania
 
Ila yupo Kama mwanamke huyo msanii mpya wa WCB.
 
Dsm vijana wana pambana kufanana na wadada na pozy za kike
Akiwa na sura kama wanaapolo kule ndichi na ile mivumbi hta kama ni ww utamwangalia useme ni msanii wa kulegeza vile?? Hawa saluni kila siku msee lazima bado zile poda kwny kushuti video, na rangi wanapaka kwenye kucha siku hizi. Sio wadada, hawa hawa wanaume. Its a digital world bablai
 
Dogo anajua Bila shaka hata ile Ngoma ya Madanga ya mke wangu alitunga yeye kwani alionekana kwenye video
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…