Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 2,096
- 5,211
Tupo nae mtaani huku, analewa sana Visungura.Sijui nae kapotelea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo nae mtaani huku, analewa sana Visungura.Sijui nae kapotelea wapi
Vitoko smart gin?Tupo nae mtaani huku, analewa sana Visungura.
Mule mule mkuu🤣Vitoko smart gin?
Dah mpimo huo, john cucaMule mule mkuu🤣
Jamaa kawa mlevi sana lakin bado anajikuta Mmarekani.Dah mpimo huo, john cuca
😂 stimu hizoJamaa kawa mlevi sana lakin bado anajikuta Mmarekani.
Humuoni hapo alivyoAlikwambia kua ni drug addict au ni umbea wako tu
Waptrick.one - Latest Games, Ringtones, Videoshizi nyimbo za zamani naweza kuzipata wapi ku download mkuu
Mimi naona wamepiga mitungi + weed, ila kwenye sembe upande wa Joslin simuoniHumuoni hapo alivyo
Na huyo wa pembeni yake
Yuko resi kama kishada
Wote wako high
Ova
Ni umbea wako tuAlikwambia kua ni drug addict au ni umbea wako tu
Huyo hana ukuu wowote, acha kumkwezaNisembe mkuu
Sawa Dada MkuuHuyo hana ukuu wowote, acha kumkweza
Kwa sisi wa wazoefu wa watu aina hiyo,tunasema jamaa anatumia drgsMimi naona wamepiga mitungi + weed, ila kwenye sembe upande wa Joslin simuoni
Kumbe huyu jina lake lingine nk sumalee? Kweli me tu ndio wajuzi ,nimejua Leo kuwa huyu ndio aliimba hakunaga.Mzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Namkubali sana mshikaji ndio maana sitaki kuamini kama ni sembe japo roho nyingine inaniambia ni yenyewe,Kwa sisi wa wazoefu wa watu aina hiyo,tunasema jamaa anatumia drgs
Maana hata huyo aliyekuwa pembeni yake ni mtumiaji(anaitwa stAn)anapatikana sana manyanya
MADAWA YA KULEVYA YANA TABIA FULANI,UKIWA UNATUMIA UTAJIFICHA HUTATAKA WATU WAJUWE AMA KUGUNDUA KAMA UKO KWENYE MATUMIZI HAYO
ILA UKIWA MTUMIAJI WA MADAWA NI SAWA NA MWANAMKE ALIYEPATA MIMBA ,IKO SIKU TU TUMBO LITAUMUKA NA MIMBA ITAONEKANA
ila kwa kumuangalia jslyn bado gari halijachanganya kama atapata msaada mapema anaweza kurudi kwenye hali yake ya kawaida
Ova
Wakimuwahi kumpa msaada anaponaNamkubali sana mshikaji ndio maana sitaki kuamini kama ni sembe japo roho nyingine inaniambia ni yenyewe,
Namuombea sana apate msaada wa haraka asidumbukie kwenye uteja
Alikuwa freshi ,safi ,ukimuona utampa tu respect ... Ni mcheshi,alikuwa anapenda sketiKwenye ngoma yake inayoitwa
"Mashikaji Mmoja hivi' alishusha stori moja kwa flow kali kinyama hadi huyo mshikaji alivyoukwaa ukimwi, iliku unaburudika huku unapata elimu na usipousikiliza kwa makini unaweza kudhani ilikua ni burudani tu isiyo na elimu kumbe flow kali ilificha stori ya kuhuzunisha kwa mistari inayo burudisha.
Haijalishi we ni nani, haijalishi we ni tajiri au maskiniiii🎶
Haijalishi we ni nani, ukiupata, usubiri kifoo ooo. 🎶(Story ya mshkaji mmoja hivi)
Haijalishi we ni nani, haijalishi we ni tajiri au maskiniiii 🎶(Weweee) Haijalishi we ni nani, ukiupata, usubiri kifoo ooo. 🎶🎶
Ukiona Mtu anamcheka mwenzie kwenye matatizo ujue amekosa nidham au utimamuWakimuwahi kumpa msaada anapona
Bado gari halijachanganya
Kikubwa accept kama yuko kwenye matumizi hayo na akubali kutoka moyoni aondokane huko
MTU YOYOTE ANAWEZA AKAINGIA HUKO HAUTAKIWI KUMCHEKA MTU
ova
Nimekuongezea chiddi benz hapo. Langa, ngwair, chiddi benz, Godzilla, hawa walichakazwa na dawa za kulevya zile kali yaani unga.