Daaah mwanetu Joslin ashapoteana. Mtazame hapa alivyo sasa

Daaah mwanetu Joslin ashapoteana. Mtazame hapa alivyo sasa

Kiukweli wasanii ni moja kati ya kundi ambalo linaongoza kwa kulogwa.
Hizi kazi za kukutanisha macho na watu wengi ni hatari sana hizi.
Si lazima urogwd maradhi noo, waweza tupiwa hata pepo la ulevi tuu.
Wivu unaharibu maisha ya wengi sana😢😢
 
Nimewashangaa sana raia kibao kwenye huu uzi. Wanasema kalewa K-Vant. Watu wanajidai wajuzi wa mambo wasioyaelewa hata kidogo.

Wanajua sana kwamba mchizi ni "Cha Pele" sema ikiwekwa wazi itacreate attention hivyo biashara zao zitamulikwa zaidi so wanapotezea kwamba ni K-vant hizo.

Ila mchizi nasikia tayari kashapelekwa rehab centre.
 
Salaam ndugu zangu,

Mnamkumbuka msanii mkali wa RnB miaka ya 2000 ya mwanzoni Joslin. Msanii huyu alitamba na vibao mbalimbali ikiwamo Niite basi, Wanazimika na yangu Perfume nk. Alikuwa miongoni mwa nguzo muhimu katika kundi la Wakali kwanza.

Aisee nimekutana na video yake Twitter leo nikasema jamaa ashapotea.

View attachment 2519385
Ni mjinga tu kwakweli.. hakuna kingine zaidi ya ujinga..ni mjingaaa...
 
Back
Top Bottom