Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noana Jamaa kala mjani na kvant Ila ingekua poda isingekua Ivo
So naona Yuko normal tu
Umeshawahi kukaa na wala poda?Noana Jamaa kala mjani na kvant Ila ingekua poda isingekua Ivo
So naona Yuko normal tu
Nimewashangaa sana raia kibao kwenye huu uzi. Wanasema kalewa K-Vant. Watu wanajidai wajuzi wa mambo wasioyaelewa hata kidogo.Nyinyi ndiyo mnapoteza watu kwa kuficha mambo ,Josline Gari ishawaka hiyo wafanye mpango wampeleke rehab kama Chid Guta.
Aliyeimba Hakunaga ni Suma Lee sio Mkali Kwanza. Wabongo kwa kukurupukaMzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Huyo mwana wa pembeni ni mtumiaji ngada tuNimependa energy yake, watu wa vile wanakuaga loyal kweli sio snitch, nimewapenda
Nimewashangaa sana raia kibao kwenye huu uzi. Wanasema kalewa K-Vant. Watu wanajidai wajuzi wa mambo wasioyaelewa hata kidogo.
Mkuu unaishi naye au na wewe unamfuatilia kupitia humu tu?Nimewashangaa sana raia kibao kwenye huu uzi. Wanasema kalewa K-Vant. Watu wanajidai wajuzi wa mambo wasioyaelewa hata kidogo.
Toa stress za kufungwa kwa mkapa topolo weee. Kukosea ndo kukurupuka? BladfakenAliyeimba Hakunaga ni Suma Lee sio Mkali Kwanza. Wabongo kwa kukurupuka
Huyo anasumbuliwa na matumiz yale tu gari limewaka,kweli anahitaji msaada huyo mtoto wa fireNyinyi ndiyo mnapoteza watu kwa kuficha mambo ,Josline Gari ishawaka hiyo wafanye mpango wampeleke rehab kama Chid Guta.
Faken mamako kuzaa toto mataqo kama weweToa stress za kufungwa kwa mkapa topolo weee. Kukosea ndo kukurupuka? Bladfaken
Ni mjinga tu kwakweli.. hakuna kingine zaidi ya ujinga..ni mjingaaa...Salaam ndugu zangu,
Mnamkumbuka msanii mkali wa RnB miaka ya 2000 ya mwanzoni Joslin. Msanii huyu alitamba na vibao mbalimbali ikiwamo Niite basi, Wanazimika na yangu Perfume nk. Alikuwa miongoni mwa nguzo muhimu katika kundi la Wakali kwanza.
Aisee nimekutana na video yake Twitter leo nikasema jamaa ashapotea.
View attachment 2519385
Ndio awe mteja🏃🏃Kwao pesa zipo
Inasikitisha sanaa... Sana. Kufuata mikumbo ya kipumbavu...kukosa management.
Goja nimuulize broo MALCOM LUMUMBA kama tuhuma zako ni kweliInasikitisha sanaa... Sana. Kufuata mikumbo ya kipumbavu...kukosa management.
Wasanii wote hawa walikuwa wanatumiwa na Clouds kisha wanatupwa hukooo... Then stress manifest...then this is the final result..
Go ahead..Goja nimuulize broo MALCOM LUMUMBA kama tuhuma zako ni kweli