SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Na hio sauti inayokwaruzana vipiKwao pesa zipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hio sauti inayokwaruzana vipiKwao pesa zipo
Watu wanamsubiria domo au konde wabongo bwanaNimegundua mtu ukilost wajuba wanafurahi sana😆
Huyohuyo mkuuKwani huyu ndo aliimba hakunaga mkuu au mm ni wajuzi ...?😁
Acha porojo wewee. Tupiako basi kapicha ka mama kibonge Salome mgaya.Ohiooooo, ohiooooo ninatamani nimuone kwa mara nyingine tena
Hii Ngoma ya dully ft josiline alikiwasha yeye na blue...Dhahabu ft. Joselin & Mr, Blue - Dully Sykes
Umenikumbusha viwanja vya Don Bosco, long time sanaNakumbuka enzi za primary Joslin alisoma shule ya Bunge kama sikosei
Walikuwa wanakuja sana pale Aga Khan Mzizima Primary na jamaa zake wanatupitia tunaenda nao viwanja vya Don Bosco alikuwa mshikaji fulani smart sana kichwani.
Nikimwona saivi inasikitisha sana
Hapana joslin alkua kweny kundi la wakali kwanza na kina makamuaHuyohuyo mkuu
Wiki iliyopita nilimkumbuka sana huyu jamaa nikaanza kufikiria moja ya wimbo wake "usione watu wanapitapita mtaani ukadhani wana raha, usione wanapitapita mtaani ukadhani wameshapata". Nikajiuliza yupo wapi huyu mtu mbona sijamsikia muda mrefu? Kumbe hali yake ndiyo ipo hivi kwa sasa! Maisha hayatabiriki aiseeJamaa alikuwa anajua sana aisee
Anapoelekea atakuwa kama Godzila
Mziki wa bongo una stress sana jamaa kaamua kula sembe
KItambo sana. Wewe ilikuwa miaka ipi kutembelea pale?Umenikumbusha viwanja vya Don Bosco, long time sana
Waliosema maisha ni safari ndefu hawakukoseaWiki iliyopita nilimkumbuka sana huyu jamaa nikaanza kufikiria moja ya wimbo wake "usione watu wanapitapita mtaani ukadhani wana raha, usione wanapitapita mtaani ukadhani wameshapata". Nikajiuliza yupo wapi huyu mtu mbona sijamsikia muda mrefu? Kumbe hali yake ndiyo ipo hivi kwa sasa! Maisha hayatabiriki aisee
Noma sana asee mkuu nadhani unashikuru sana kubahatika kutoka umo vinginevyo habari umeiona ilivyo kamili[emoji2][emoji2][emoji2][emoji16] ilibaki kidogo tu nizame humo...pia nina bro mpaka leo tunahangaika nae na marehabs..
Yule ni Jose mtamboHiv huyu ndio jamaa Kuna ngoma katoa na Roma kidole Cha mwisho juu? Au mm naelewa mwingine
Yuko sawa kiaina sio kivileMakamua nilikuta wanaonesha harusi yake last week; ameoa. Anaonekana yupo sawa...