National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Sema cowboy a.k.a mimi a.k.a Ngwair walimtimua vibaya sanaGo ahead..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema cowboy a.k.a mimi a.k.a Ngwair walimtimua vibaya sanaGo ahead..
Kuna mambo huwa yanasikitisha na kutia hasira mno ukiyafikiria........Goja nimuulize broo MALCOM LUMUMBA kama tuhuma zako ni kweli
Huyu jamaa anatoa shule tena kwa gharama nafuu sana, Kuna hili goma linaitwa Almasi, anakuambiaKama hauna moyo kinachofata ni recession, uwe chawa uanze kudata na depression...
Vina akimuelekeza rapcha kuhusu game ya bongo...
Vina ni mwalimu mzuri kwa sasa
Poa poa mke wangu. Kufungwa kwa mkapa inaumaFaken mamako kuzaa toto mataqo kama wewe
Pesa kidogo waliyopata iliwazuzuaInasikitisha sanaa... Sana. Kufuata mikumbo ya kipumbavu...kukosa management.
Wasanii wote hawa walikuwa wanatumiwa na Clouds kisha wanatupwa hukooo... Then stress manifest...then this is the final result..
Naishi na jamii inayotumia hivyo vitu vyote so naelewa jamaa.Mkuu unaishi naye au na wewe unamfuatilia kupitia humu tu?
Wakali kwanza-kwanza
Jamaa walikuwa wakali kweliWakali kwanza-kwanza
Siyo yeye, huyo jamaa amerupuka.Kwani huyu ndo aliimba hakunaga mkuu au mm ni wajuzi ...?[emoji16]
Yuko poa wakati ameshakuwa drug addict, wewe jamaa ni wa maniaje aiseeeMbona yuko fit tu au ulitaka kusemaje sema hapo ni aidha amepiga Kvant au Weed au vyote,
Ila yuko poa na Interview kaifanya poa
Nikuletee sembe uonje kidogo ?Kalewa pombe au madawa ya kulevya ndio yanalewesha hivyo?
Alikwambia kua ni drug addict au ni umbea wako tuYuko poa wakati ameshakuwa drug addict, wewe jamaa ni wa maniaje aiseee
Hii si kazi y kaka ykoWasanii wote kuanzia 2015 kushuka chini wamechanganyikiwa na wengine washakufa
Nisembe mkuuAlikwambia kua ni drug addict au ni umbea wako tu