Qualtrics
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 272
- 388
Acha uongoWasanii wote kuanzia 2015 kushuka chini wamechanganyikiwa na wengine washakufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongoWasanii wote kuanzia 2015 kushuka chini wamechanganyikiwa na wengine washakufa
Niite basi bonge moja la ngoma
Wakishua huyo long timeHalaf Ana swaga fulan hivi daaa anavyovaa nimeona insta page yake yupo poa tu
Wakishua huyo long time
Naomba unioneshe Mez B, Langa, Ngwear, H bizzo, Shallo na n.k kisha umalize uongoAcha uongo
Nafikiri anaitwa 'Joslin'Mbona jina lake ni la kike mzee baba
Joslin, makamua walikua wanajua sanaAlikuwa anajua na ile sauti yake sasa
Ni kweli wachache sana wanasavive ingawa ninkwa taaabu sana.Acha uongo
Hiyo ni gambe tu, sembe angekua vile mtu kapiga bling bling na kaagiza mzigo wa perfumeKalewa pombe au madawa ya kulevya ndio yanalewesha hivyo?
Nimependa energy yake, watu wa vile wanakuaga loyal kweli sio snitch, nimewapendakuna mwana pembeni yake du kama jatoka kafufuka alikuwa full mzuka
MamboMzee wa Hakunaga ni Sumalee,
Huyo ni Mzee wa Perfume, Mshikaji mmoja, niite basi, utamkuta kwenye Dhahabu mtoto wa K.koo
Umaarufu haufai kabisa kama ubongo wako hauko imara.Salaam ndugu zangu,
Mnamkumbuka msanii mkali wa RnB miaka ya 2000 ya mwanzoni Joslin. Msanii huyu alitamba na vibao mbalimbali ikiwamo Niite basi, Wanazimika na yangu Perfume nk. Alikuwa miongoni mwa nguzo muhimu katika kundi la Wakali kwanza.
Aisee nimekutana na video yake Twitter leo nikasema jamaa ashapotea.
View attachment 2519385
Kwa Yesu.....Mambo
Kachanganya madesaKwani huyu ndo aliimba hakunaga mkuu au mm ni wajuzi ...?😁