Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Langa KileoChiddi benz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Langa KileoChiddi benz
Huna mpinzani 😋Kama mimi vile [emoji847]
Kwani huyu ndo aliimba hakunaga mkuu au mm ni wajuzi ...?[emoji16]
hizi nyimbo za zamani naweza kuzipata wapi ku download mkuu
Nimekuongezea chiddi benz hapo. Langa, ngwair, chiddi benz, Godzilla, hawa walichakazwa na dawa za kulevya zile kali yaani unga.Langa Kileo
Ulikuja mjini lini?Mzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Hahahaaa... Jamaa yupo mionzi ya kufa mtu, kanichekesha sana japo inasikitishakuna mwana pembeni yake du kama jatoka kafufuka alikuwa full mzuka
Kina dullayo kachoka kinyama na huyo Paulina zongo sema bado wako hai ..Ila wamezeema kinomaNimekuongezea chiddi benz hapo. Langa, ngwair, chiddi benz, Godzilla, hawa walichakazwa na dawa za kulevya zile kali yaani unga.
ila anaazeeka na sauti yakeSalaam ndugu zangu,
Mnamkumbuka msanii mkali wa RnB miaka ya 2000 ya mwanzoni Joslin. Msanii huyu alitamba na vibao mbalimbali ikiwamo Niite basi, Wanazimika na yangu Perfume nk. Alikuwa miongoni mwa nguzo muhimu katika kundi la Wakali kwanza.
Aisee nimekutana na video yake Twitter leo nikasema jamaa ashapotea.
View attachment 2519385
SafiMzee wa Hakunaga ni Sumalee,
Huyo ni Mzee wa Perfume, Mshikaji mmoja, niite basi, utamkuta kwenye Dhahabu mtoto wa K.koo
Yaan daaAnaongea kama teja , ila iwe anatumia cocaine angalau kuliko Heroin
Unatudanganya ujueMzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Na mwanetu Joslin ndio anapoelekeaNimekuongezea chiddi benz hapo. Langa, ngwair, chiddi benz, Godzilla, hawa walichakazwa na dawa za kulevya zile kali yaani unga.