Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh nilidhani sasa Upo kwa mtumeKwa Yesu.....
Hajaimba hakunagaMzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Hakunaga aliimba Suma leeMzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Anasauti tamu sana.inanivutiagaAlikuwa anajua na ile sauti yake sasa
Joselin aliimba nyimbo kama Niite basi, Simuelewi na nk Hiyo Hakunaga iliimbwa na Suma LeeMzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Kama mimi vile [emoji847]Nimependa energy yake, watu wa vile wanakuaga loyal kweli sio snitch, nimewapenda
Hakunaga ni sumaleeMzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Huna bando??Kafanyaje
Yeap lina mashairi mazuri na beat kali lenye mdundo mnene.Niite basi bonge moja la ngoma
Heko kwa producer wakeYeap lina mashairi mazuri na beat kali lenye mdundo mnene.
Yule ni Jose Mtambo, mzee wa kigambonino... Hatari sana yule mwambaHiv huyu ndio jamaa Kuna ngoma katoa na Roma kidole Cha mwisho juu? Au mm naelewa mwingine
Hahahahah alijua chungwa ukilimenya kama chenzaKachanganya madesa
Chiddi benzJamaa alikuwa anajua sana aisee
Anapoelekea atakuwa kama Godzila
Mziki wa bongo una stress sana jamaa kaamua kula sembe