Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,957
- 7,505
Inahuzunisha sanaYaan daa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahuzunisha sanaYaan daa
Umefufuka mkuu ?Nafikiri anaitwa 'Joslin'
Cocaine inabidi uwe na chanzo cha kueleweka cha kipato...ukiwa na hela cocaine wala haikuchoshi utakufa tu ghafla kwa mshtuko kwa moyo... Mateja wengi bongo hawamudu cocaine wanaishia kwenye Heroin au machalas (mabaki tu ya cocaine)Anaongea kama teja , ila iwe anatumia cocaine angalau kuliko Heroin
Du Godzilla alikuwa mteja kwani?Na mwanetu Joslin ndio anapoelekea
Nimerudi mkuuUmefufuka mkuu ?
Sheikh au mganga wakienyejiKachanganya files, sumalee ni sheikh now.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule ni jose mitamboHiv huyu ndio jamaa Kuna ngoma katoa na Roma kidole Cha mwisho juu? Au mm naelewa mwingine
Daaah, umenikumbusha mbali sana mwanaaa......
Wakali Kwanza hao..na walikuwa wakali haswaaJoslin, makamua walikua wanajua sana
Enaseketesha sanaaa....Daaah, umenikumbusha mbali sana mwanaaa......
Hapa ndipo huwa naichukia sana Redio fulani hivi......
Nyimbo yao ya natamani nzuri sana.Wakali Kwanza hao..na walikuwa wakali haswaa
Mzee wa hakunaga ni Swala tano kabisa kwa sasaMzee wa hakunaga, nyimbo zake zimeniburudisha sana, mengine ni mapito ya dunia tu
Inaweza kuwa pombe tu wala hajakosea kitu yuko poa tu.Anaonekana conscious sana lakini ndio either amevuta sana au poda kwa sana.
Bila kumsahau Q Jay, Wakali KwanzaJoslin, makamua walikua wanajua sana
Hii ngoma nimeshinda naisikiliza 😀😀Daaah, umenikumbusha mbali sana mwanaaa......
Hapa ndipo huwa naichukia sana Redio fulani hivi......
Ila Tanzania kuna watu wa vipaji sana......Hii ngoma nimeshinda naisikiliza 😀😀
View attachment 2519778