Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyo sasa, kuna demu mwingine wamem post kakodi airbus ya emirates A380-800 anaenda kwao mwakaleli mbeya kula krismasi. Yaani hiyo inabeba watu 800 na mabegi yao ya kilo 46 kila mmoja........ukikodi usisahau kunipa lift basi😉[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaona sasa? Tobaaaah wee.
naomba niunganishe nae kk mm mjonalistWaiona hyo!!!View attachment 2054846
Wazo zuri sana hili.Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
angeitwa kuhojiwaMama naupiga mwingi. Enzi za vyuma kukaza sasa ni historia.
Yule bwana a roast in hell.angeitwa kuhojiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie nawee nani anateseka na hilo?Ndo hivyo sasa, kuna demu mwingine wamem post kakodi airbus ya emirates A380-800 anaenda kwao mwakaleli mbeya kula krismasi. Yaani hiyo inabeba watu 800 na mabegi yao ya kilo 46 kila mmoja........ukikodi usisahau kunipa lift basi😉
Ni mimi ndo maana nikaomba unipe lift siku utakapokodi dege la airbus kwenda kula krismas.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie nawee nani anateseka na hilo?
Poleeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni mimi ndo maana nikaomba unipe lift siku utakapokodi dege la airbus kwenda kula krismas.
hata akiishi dubai jiji la Maraha na starehe nini Norway stress ni stress tu Fanta cocaMnasema stress, mtu ni mtanzania aishie Norway. Kaja motherland kula goodtime halafu bado tunadiss. Kweli tutafika tukiwa tumechoka sana [emoji2][emoji2][emoji2]
Kila mtu na furaha yake mkuu, ukute dereva wa basi furaha yake ni kuto kuendesha basi mwaka mzima na malipo akalipwa, halafu huyu dada furaha yake ni kupanda basi la watu 60 akiwa yeye na mwanae tuKumbe kuna watu mkipanda gari ni sehemu ya kupata furaha?
Kwa mantiki hiyo madereva wa mabasi ni watu wenye furaha sana.
waeke na smoking zone kabisa.Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.