Dada akodi bus zima la Abood akiwa yeye na mtoto wake pekee

Dada akodi bus zima la Abood akiwa yeye na mtoto wake pekee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaona sasa? Tobaaaah wee.
Ndo hivyo sasa, kuna demu mwingine wamem post kakodi airbus ya emirates A380-800 anaenda kwao mwakaleli mbeya kula krismasi. Yaani hiyo inabeba watu 800 na mabegi yao ya kilo 46 kila mmoja........ukikodi usisahau kunipa lift basi😉
 
[emoji2][emoji2][emoji2] wabongo bhana
Screenshot_20211223-104910.jpg
 
Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.

Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Wazo zuri sana hili.
 
Ndo hivyo sasa, kuna demu mwingine wamem post kakodi airbus ya emirates A380-800 anaenda kwao mwakaleli mbeya kula krismasi. Yaani hiyo inabeba watu 800 na mabegi yao ya kilo 46 kila mmoja........ukikodi usisahau kunipa lift basi😉
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mie nawee nani anateseka na hilo?
 
Mnasema stress, mtu ni mtanzania aishie Norway. Kaja motherland kula goodtime halafu bado tunadiss. Kweli tutafika tukiwa tumechoka sana [emoji2][emoji2][emoji2]
hata akiishi dubai jiji la Maraha na starehe nini Norway stress ni stress tu Fanta coca
 
Kumbe kuna watu mkipanda gari ni sehemu ya kupata furaha?
Kwa mantiki hiyo madereva wa mabasi ni watu wenye furaha sana.
Kila mtu na furaha yake mkuu, ukute dereva wa basi furaha yake ni kuto kuendesha basi mwaka mzima na malipo akalipwa, halafu huyu dada furaha yake ni kupanda basi la watu 60 akiwa yeye na mwanae tu
 
Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.

Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
waeke na smoking zone kabisa.
 
Back
Top Bottom