Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mama angu Samiah Suluhu, eti eee. Maana ndo anaowaongoza.Wala si uongo wanawake wana akili kisoda tukiongozwa na mama ako.
Good ideaSiku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Halafu kapitia njia ya bagamoyoWatu wana mind wkt unaambiwa katumia zaidi ya laki sita
Wkt kna watu wakiendq kidimbwi sjui element wanatumiaa mpk milion na wakiamkaa maumivu
Huyu dada kajuaa kuenjoy na pesa yake
Ova
Wasiojiweza hawajawahi kuisha toka enzi za Yesu.....Pole dadaa kwa tabu ulizozipata..hiyo fedha laki sita bora ingeenda kuwasaidia wasiojiweza tu!
Kasema kalipia 750,000bac tufanye 1M
Hiki kitendo kinahalalisha tozo ziendelee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnasema stress, mtu ni mtanzania aishie Norway. Kaja motherland kula goodtime halafu bado tunadiss. Kweli tutafika tukiwa tumechoka sana [emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiki kitendo kinahalalisha tozo ziendelee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Safari ya hivi inabidi iwe ndefu kiasi.Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Sidhani kama dreva hajachukua namba, hicho kigauni ni balaa mbele ya rijaliSi unajua wadau wa JF warembo wakarii
Ugonjwa wangu huo mguu na nnyaaa mzee
Ova
awe makini na 0713 hiyo ni mali ya mtuSidhani kama dreva hajachukua namba, hicho kigauni ni balaa mbele ya rijali
Mkuu,natafuta pesa kwa bidii sana.Tafuta pesa ili uachana na negative thoughts.
Kwani usipoamini wewe itaondoa ukweli wa habari!Ulitakiwa uchukuwe clip dada akiwa ndan ya gari ili tuamini je kama kapiga tu picha kasimama hapo njee! Na tena umepiga wewe huyo hiyo na inawezekana kabisa ni shemeji, ahsante kwa kutuonesha shemeji yetu, JF mna mambo na hivi vitu vinapanda bei kila kukicha tutaona drama kibao..