Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Umenikumbusha mkuu, hivi aliishiaga wapi huyo?Hana tofauti na dada aliyejitangaza anataka mume tofauti njia iliyotumika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha mkuu, hivi aliishiaga wapi huyo?Hana tofauti na dada aliyejitangaza anataka mume tofauti njia iliyotumika
[emoji13] alitapata mwamba wanaishi buza huko .....jamaa anakukung'uta tu mzigo na bibie akili ikosawaUmenikumbusha mkuu, hivi aliishiaga wapi huyo?
Mwanangu naenda ubungo pale ofisi za abudi nikapambane nipate namba yake tuonane ili nimrudishie laki 6 zake ,Mana kashajitangaza hitajilake nimelijua mtoto anambana mama amwoneshe baba ,mama baba hamjui inaonesha ilikua bahati mbaya siunajua semina hukutana wengi au kazi yakudeti nawaume zawatu ndomatoleoHuu ni Upuuzi kila mtu akikodi gari peke yake si barabara itajaa na kuongeza traffic..., huu ni ulimbukeni, angetengeneza na barabara yake pekee
HIzi hasira zako nenda kazitumie kuanzisha fujo kwenye kambi ya jeshiHuu ni Upuuzi kila mtu akikodi gari peke yake si barabara itajaa na kuongeza traffic..., huu ni ulimbukeni, angetengeneza na barabara yake pekee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saafi sana.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] sio kwamba hana magari yake.anayo.Mbona wenzetu wanatoka hukooo mbali wanatumia zaidi ya mara 4 au 5 ya hii.Naunga mkono.
Hii basi ni ile yenye toilet, bed room 2,kitchen,sitting room kubwa upande wa nyuma, room ya vinywaji mbalimbali, wifi , tv kubwa unapata channel zote isipokuwa TBC,kuna dish kubwa imefungwa kwa nyuma.
Hii basi ni zaidi ya treni first class ni nzuri sana,sijui wameweka nini huko chini kwa nyuma maana mneso wake sio wa kwaida.Kuna wahudumu 5 pamoja na dereva.
Huu ni utalii wa ndani tumefundishwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekuambia km ana stress? Ila watu bhana lolStress ukishindwa kuzimanage ni changamoto,hapo utakuta anamkomoa ex husband,nadhani ikiwa mtu amesomasoma angalau hata ana bachelor inasaidia kidogo
Narudia stress ni mbayaaa!yaani unahangaika kote ili mradi aone una furaha bila yeye kumbe ni stress tupu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda ziwe dala dala za wanachuo, na ziwe zina park maeneo ya chuo lolHahahahah kweli lakini maana mjuba kulipa. Luteni kisa tu AC na bia ni uongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kuna watu mkipanda gari ni sehemu ya kupata furaha?
Kwa mantiki hiyo madereva wa mabasi ni watu wenye furaha sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watakwambia ana stress. Kumbe wao ndio stress zimewazidi hadi kutaka kila mtu aishi kama wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Swahiba penye miguu tupo pamoja ndio maradhi yangu pamoja na rangi ila iwe aliyorithishwa na bibi yake isiwe ya penye makopo.
Huu wivu na roho mbaya, ndo nn kutaka kumuweka mwenzio pabaya iv? Una hakika km anauza ngada? Ila watu khaaaahNi yeye anaitwa imelda john grant anaishi ana jumba lake mitaa ya tabata chama, za chini chini huyu dada analiwa na kigogo mmoja sekta ya madini alafu pia anauza ngada, njoo tabata alafu ulizia IMELDA JOHN au madam ime utapewa habari zake [emoji1474]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] punguza makasiriko, tafuta pesa wee, acha kulia lia. Tafuta pesa khaaaah.nawee naye ugumu wa maisha ndo unawafanya mtoe ndogo ili muhongwe. Kama sio ugumu wa maisha ungegawa bure na wanawake wenzako.
na wewe tafuta pesa uachane na habari za kuhongwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingekuwa ndio jinsia Me kakodi na mwanae nadhani comment zingekuwa ni positive kwa kuwa ni Ke basi ni negative . Kuna watu wanastress na maisha ya watu mpaka huruma
Yake ndyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mabegi yote ni yake?? View attachment 2053243
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji13] alitapata mwamba wanaishi buza huko .....jamaa anakukung'uta tu mzigo na bibie akili ikosawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanangu naenda ubungo pale ofisi za abudi nikapambane nipate namba yake tuonane ili nimrudishie laki 6 zake ,Mana kashajitangaza hitajilake nimelijua mtoto anambana mama amwoneshe baba ,mama baba hamjui inaonesha ilikua bahati mbaya siunajua semina hukutana wengi au kazi yakudeti nawaume zawatu ndomatoleo
Ngoja nikawe baba wamtoto ,kufikia siotabu jamaa akijichelewesha naenda mahakamani tukamalizane na mtoto abadilishe ubini ukoo Mambo yaendelee
Pesa ninayo dada, sema tu unataka nikumegee shilingi ngapi..........ila usiende kukodi basi ni matumizi mabaya ya rasilimali.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha wivu, tafuta pesa,lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna pesa wee, wala sihitaji mie.Pesa ninayo dada, sema tu unataka nikumegee shilingi ngapi..........ila usiende kukodi basi ni matumizi mabaya ya rasilimali.
Wacha wee, basi kama sina naomba nije nikusaidie matumizi.........tukavinjari na Abood mbugani, kama ni mkoba nitakubebea......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna pesa wee, wala sihitaji mie.
Tafuta pesa acha kulia lia lol.
Kwanini uumie na maaamuzi binafsi ya mtu kukodi bus kama sio msongo wa mawazo?!Hakuna mwenye stress Wala depression jomba bali Kila mtu anaelezea vile anavyoona na ndio raha ya jf mawazo tofauti kwenye mada moja, Kila mtu maoni yake yaheshimiwe tafadhali.