Dada akodi bus zima la Abood akiwa yeye na mtoto wake pekee

Dada akodi bus zima la Abood akiwa yeye na mtoto wake pekee

Depression mbaya usiombe.. kukodi kwake bus kuna watu ndio wanaona huyo dada kama kawasababishia maisha yao kuwa mabovu.
Hakuna mwenye stress Wala depression jomba bali Kila mtu anaelezea vile anavyoona na ndio raha ya jf mawazo tofauti kwenye mada moja, Kila mtu maoni yake yaheshimiwe tafadhali.
 
Ni yeye anaitwa imelda john grant anaishi ana jumba lake mitaa ya tabata chama, za chini chini huyu dada analiwa na kigogo mmoja sekta ya madini alafu pia anauza ngada, njoo tabata alafu ulizia IMELDA JOHN au madam ime utapewa habari zake [emoji1474]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan una hasira weye lol.
Tafuta pesa acha kulia lia. Nawee nyoosha miguu na uinamie mkunyenge, ili upate hizo pesa, kwan unakwama wapi? Khaaaaah
nawee naye ugumu wa maisha ndo unawafanya mtoe ndogo ili muhongwe. Kama sio ugumu wa maisha ungegawa bure na wanawake wenzako.

na wewe tafuta pesa uachane na habari za kuhongwa.
 
Angekuwa nazo angeteleza na V8 yake binafsi, kama hata hiyo imemshinda angeteleza hata na kavits au Ist asingekodi basi.

Huyo ni aina ya muhaya flani hivi misifa isiyo na maana. Labda anazani anamkomoa hawara yake aliyetoswa nae, kumbe anajiumiza mwenyewe tuuu. Wanawake wana akili kisoda sana.
Wala si uongo wanawake wana akili kisoda tukiongozwa na mama ako.
 
Haya mabegi yote ni yake??
FB_IMG_1640158686123.jpeg
 
Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.

Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Ubepari mtauweza?
 
Back
Top Bottom