superwarkills
Senior Member
- Aug 18, 2014
- 136
- 83
Ana kiuno hatar namba mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swahiba penye miguu tupo pamoja ndio maradhi yangu pamoja na rangi ila iwe aliyorithishwa na bibi yake isiwe ya penye makopo.Anaonekana ana chura
Anakaa mguu fulani pia
Ova
Hakuna mwenye stress Wala depression jomba bali Kila mtu anaelezea vile anavyoona na ndio raha ya jf mawazo tofauti kwenye mada moja, Kila mtu maoni yake yaheshimiwe tafadhali.Depression mbaya usiombe.. kukodi kwake bus kuna watu ndio wanaona huyo dada kama kawasababishia maisha yao kuwa mabovu.
Watakwambia ana stress. Kumbe wao ndio stress zimewazidi hadi kutaka kila mtu aishi kama wao
nawee naye ugumu wa maisha ndo unawafanya mtoe ndogo ili muhongwe. Kama sio ugumu wa maisha ungegawa bure na wanawake wenzako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan una hasira weye lol.
Tafuta pesa acha kulia lia. Nawee nyoosha miguu na uinamie mkunyenge, ili upate hizo pesa, kwan unakwama wapi? Khaaaaah
Wala si uongo wanawake wana akili kisoda tukiongozwa na mama ako.Angekuwa nazo angeteleza na V8 yake binafsi, kama hata hiyo imemshinda angeteleza hata na kavits au Ist asingekodi basi.
Huyo ni aina ya muhaya flani hivi misifa isiyo na maana. Labda anazani anamkomoa hawara yake aliyetoswa nae, kumbe anajiumiza mwenyewe tuuu. Wanawake wana akili kisoda sana.
Mtafute dereva wa basi AboodMkuu uwezekano wa kupata mawasiliano yake mkuu vipi???
kibongo bongo tunapenda sana kupangiana maisha jinsi ya kuishi,na sio kila mmoja aishi vile apendavyoWatakwambia ana stress. Kumbe wao ndio stress zimewazidi hadi kutaka kila mtu aishi kama wao
Tafuta pesa ili uachana na negative thoughts.Ana Stress. Atakuwa amezishusha
Tafuta pesa wewe, acha kujitia unajua sana stress za watu. Kila mtu ana stress zake, hata wanandoa wana stress.Msongo Wa Mawazo mchezo...!
Huruma kwa huyo mtoto tu, Singo Maza wengi huwa hawawatendei haki Watoto!
Tafuta laki 6, umrudishe tena Dsm, safari hii muwe wanne, wewe yeye mtoto na dereva.Anaonekana ana chura
Anakaa mguu fulani pia
Ova
Kwann niingilie mchongo wakeTafuta laki 6, umrudishe tena Dsm, safari hii muwe wanne, wewe yeye mtoto na dereva.
Kila binadamu mwenye akili timanu ana stressKaachwa huyu itakua stress
Ubepari mtauweza?Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Nimaamuzi tu,ni sawa na 10,000/=xsiti 56=Tzs560,000/= tuHuyu dada amekodi Bus la ABOOD akiwa yeye na Mwanae tu basi zima Bus limetoka Morogoro hadi Dar es salaam tena kupitia Bagamoyo, lengo ni kufurahi tu yeye na mwanae. Amelipia zaid ya Laki sita kukodi gari hilo.
🙌🙌
View attachment 2052624🙌🙌
Singo dad umeumizwa sana na hicho kitendoSingomaza huyo baada ya kutendwa[emoji3]