cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tinapigika na tunaenjoy life vile vile[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tinapigika na tunaenjoy life vile vile[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]negative comment jamani wabongo tuna stress akiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mganga wake kiboko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ama kwa hakika mama kafungua nchi[emoji1787][emoji1787]
Mbna una makasiriko sana wee? Kwani pesa zako? Kakuambia km anamkomoa mzazi mwenzake? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]angekuwa nazo angeteleza na V8 yake binafsi, kama hata hiyo imemshinda angeteleza hata na kavits au Ist asingekodi basi.
Huyo ni aina ya muhaya flani hivi misifa isiyo na maana. Labda anazani anamkomoa hawara yake aliyetoswa nae, kumbe anajiumiza mwenyewe tuuu. Wanawake wana akili kisoda sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hizo hela utkuta amempa bosi mmoja hapa mjini kwavile amezaa nae ana mwachia mkwanja yeye ndo ana ufanyia fujo ikijua zi kiisha ata mpa tena
Muongozo hutoi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo yake muachieni mwenyewe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingekuwa enzi za mwenda kuzimu huyu dada angefunguliwa kesi ya uhujumu au utakatishaji fedha na sasa angekuwa ananyea ndoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wadada wengi ni wazur sana kwenye kutumia pesa, hata wafanyabiashara wanawapenda sana Wateja wa kike kuliko wa kiume, mm nahisi asilimia kubwa pesa wanazipata kiurahisi, imagine mtu bao moja anahongwa kuanzia 50000
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha wivu, tafuta pesa,lolKwa hiyo kisa una pesa ruksa kuagiza kreti zote za bia baa na kuamuru zitumike kudekia choo.......unaelewa maana ya 'wise use of resources' au wewe mwenzetu una ubinafsi uliopitiliza tamaa ya fisi.......unajua athari kiasi gani kwenye mazingira hilo basi limefanya kwa kusafirisha abiria mmoja kinyume na uwezo wake wa abiria 65, au unachukulia mambo kijuu juu tu kama ilivyo akili ya ngozi nyeusi wengi.........
Aisee vijana wana stress sana nchi hii! Wamejaa chuki na negativity tu
Kabisaaa yaanRaha kujipa mwenyewe usisubiri kupewa .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan una hasira weye lol.wamezoea kupokea kutoka kwa madume bila kuvuja jasho ndo maana hawana uchungu na pesa.
wanachojua ni kunyosha mguu na kuinamia mikuyenge tuu
na wa kuhongwa wengi wao hawana marinda ni mwendo wa kuchafua hali ya hewa ovyo,
kujinyea ovyo tuu na kuvaa pampas kama mtoto kumbe jidada zima au jimama kabisa.
YAan watu wana chuki, wivu na hasira hii nchi khaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wana stress na makasiriko sana. Hela yake,kaamua kukodi bus hasira wanapata wengine! Unataka kumpangia mtu jinsi ya kutumia hela zake?
... Ushauri tu 🤣😂😭😷 na stori za hapa na pale.. nchj isonge mbeleAcha u mariooo wee mtu lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kukodi ndege shin'ngapi nivunje "rikodi"..!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji18]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We chukua Saratoga, piga DAR - Kigoma-DAR...
Kukomesha kabisa next year unalipia seat zote kwenye LIDRIMULAINA, DAR to CHATO unamuenzi shujaa JPM.....
Depression mbaya usiombe.. kukodi kwake bus kuna watu ndio wanaona huyo dada kama kawasababishia maisha yao kuwa mabovu.YAan watu wana chuki, wivu na hasira hii nchi khaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] toka hapa unataka umdange dada wa watu lol.... Ushauri tu [emoji1787][emoji23][emoji24][emoji40] na stori za hapa na pale.. nchj isonge mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii nchi una watu wa ajabu sijawahi ona mweeeehDepression mbaya usiombe.. kukodi kwake bus kuna watu ndio wanaona huyo dada kama kawasababishia maisha yao kuwa mabovu.