samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Kwani kulikuwa Kuna ulazima wowote mhudumu kuwa na MATACLE makubwa.?
Mi nimeelewa hapo tu basi!!
Nishaweka na taswira ya mhudumu!!
ni burudani tu kama mziki mkubwa baa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kulikuwa Kuna ulazima wowote mhudumu kuwa na MATACLE makubwa.?
Mi nimeelewa hapo tu basi!!
Nishaweka na taswira ya mhudumu!!
Mshamba tu huyu hana lolote, bila shaka atakuwa masalia ya sukuma gang..! Ndo publicity zao hizi!Huyu dada amekodi Bus la ABOOD akiwa yeye na Mwanae tu basi zima Bus limetoka Morogoro hadi Dar es salaam tena kupitia Bagamoyo , lengo ni kufurahi tu yeye na mwanae. Amelipia zaid ya Laki sita kukodi gari hilo.
[emoji119][emoji119] View attachment 2052624
Je angekodi charter ingekuwajeVijana wana stress na makasiriko sana. Hela yake,kaamua kukodi bus hasira wanapata wengine! Unataka kumpangia mtu jinsi ya kutumia hela zake?
Msongo wa mawazo ni tatizo kubwa katika jamii...tujifunze, huyu kuna kitu hakipo sawa kwenye maisha
Dada kaamua kujipa burudani mnasema ana msongo mawazo....
Kwani kukodi ndege shin'ngapi nivunje "rikodi"..!?😂😂😂😌
Ana Stress. Atakuwa amezishusha
Acha u mariooo wee mtu lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaitwa nani?
Weka namba yake ikibidi nimpe ushauri wa mambo mbalimbali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu pesa zake unataka umpangie matumizi.
Tafuta pesa bro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaachwa huyu itakua stress
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku Mke wa David Benkam, Viktoria Benkam, alienda saloon mtaa wa pili kwa Haikopta, wambea walipomuuliza kisa Cha kwenda mtaa wa pili kwa helkopta ni Nini, aliwajibu kwa ufupi 'kwani kazi ya pesa ni nini?'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli kariakoo-tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amkodishie mtoto ndege au boti ya kisasa,njiani magari mengi,matututa na mashimo. Mtoto hajainjoi vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajaa wanachuo hizo dala dala aan wanapenda sana sifa lol.Hio daladala labda imshushe kila mtu getini au bar nzuri[emoji23] na hizo bia muwe mnauziwa!
Sema hii Idea nzuri sana[emoji23] maana dereva akipiga trip zake 3 tu kakamilisha hesabu watu maximum wawe 10 tu ndani halafu wahudumu wawili na dj pamoja na dereva tu[emoji28]
Kwa wabongo wanavyopenda raha lazma watakuwa wanazipanda daily! Mtu anaona bora aanze kumenya tu ndani ya dala dala mumshushe kwenye bar anayotaka njia ya tegeta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mieStress SI mchezo waweza Kodi bajaji kwa Milioni toka Mbagala kuu hadi Chamazi tu