Kwa hiyo kisa una pesa ruksa kuagiza kreti zote za bia baa na kuamuru zitumike kudekia choo.......unaelewa maana ya 'wise use of resources' au wewe mwenzetu una ubinafsi uliopitiliza tamaa ya fisi.......unajua athari kiasi gani kwenye mazingira hilo basi limefanya kwa kusafirisha abiria mmoja kinyume na uwezo wake wa abiria 65, au unachukulia mambo kijuu juu tu kama ilivyo akili ya ngozi nyeusi wengi.........Acha chuki mkuu usipangie mtu matumizi kama hukutafuta nae....., TAFUTA PESA
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app