Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Tinapigika na tunaenjoy life vile vile💃💃💃💃Singomaza huyo baada ya kutendwa[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tinapigika na tunaenjoy life vile vile💃💃💃💃Singomaza huyo baada ya kutendwa[emoji3]
Miaka hiyo jamaa naye alikodi bus akaenda nalo kijijini kuonesha kuwa anawazidi wanaokodi taxisHuyu dada amekodi Bus la ABOOD akiwa yeye na Mwanae tu basi zima Bus limetoka Morogoro hadi Dar es salaam tena kupitia Bagamoyo , lengo ni kufurahi tu yeye na mwanae. Amelipia zaid ya Laki sita kukodi gari hilo.
[emoji119][emoji119] View attachment 2052624
Mtu na raha zake jamaniPole dadaa kwa tabu ulizozipata..hiyo fedha laki sita bora ingeenda kuwasaidia wasiojiweza tu!
Ndio kwanza Mungu atamzidishia azidi kupata pesa zaidiAtaijutia hiyo hela muda si mrefu!
Mganga wake kibokoHuyu dada amekodi Bus la ABOOD akiwa yeye na Mwanae tu basi zima Bus limetoka Morogoro hadi Dar es salaam tena kupitia Bagamoyo , lengo ni kufurahi tu yeye na mwanae. Amelipia zaid ya Laki sita kukodi gari hilo.
[emoji119][emoji119] View attachment 2052624
Wana mind katumia zaidi ya laki sitanegative comment jamani wabongo tuna stress akiii
Urisi ndio kitu gani mkuu?Kashauza mashamba ya urisi morogoro uyu.
Umesha jua mkuu sema unataka mambo yawe mengi.Urisi ndio kitu gani mkuu?
Mhudumu mwenye matako makubwa.Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli kariakoo-tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli kariakoo-tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Naungana na wewe, huyo ana kitu kinamsumbua. Atakuwa na sonona ama uchungu moyoni.Ana Stress. Atakuwa amezishusha
Kawasaidie wewePole dadaa kwa tabu ulizozipata..hiyo fedha laki sita bora ingeenda kuwasaidia wasiojiweza tu!