Dada akodi bus zima la Abood akiwa yeye na mtoto wake pekee

Dada akodi bus zima la Abood akiwa yeye na mtoto wake pekee

Itakuwa katemwa huyu sasa anataka kuonyesha umwamba kwa huyo baba wa mtoto kuwa yeye ni mwanamke wa shoka kama wenyewe wanavyo jiita.

Kwavyovyote tu huyu hakosi kuwa wale wanawake wanaotaka kuwa wanaume kwenye familia zao mwisho wanajikuta na stress.

Huruma ni kwa huyu mtoto kwasababu mama atafanya yote ili kumkomoa baba ila kuna wakati utafika atachoka kufanya haya anayo yafanya mwisho atamtumia mtoto kama fimbo kumchapia mzazi mwenzake pamoja na kumjaza sumu mtoto kwa zile kauli "huna baba wewe ".
 
Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.

Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli Kariakoo-Tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
 
Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.

Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli kariakoo-tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Hio daladala labda imshushe kila mtu getini au bar nzuri😂 na hizo bia muwe mnauziwa!

Sema hii Idea nzuri sana😂 maana dereva akipiga trip zake 3 tu kakamilisha hesabu watu maximum wawe 10 tu ndani halafu wahudumu wawili na dj pamoja na dereva tu😅

Kwa wabongo wanavyopenda raha lazma watakuwa wanazipanda daily! Mtu anaona bora aanze kumenya tu ndani ya dala dala mumshushe kwenye bar anayotaka njia ya tegeta
 
Back
Top Bottom