Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Uchumi Wa KatiAta hivyo sio pesa mingi ni kama laki 5 na haizidi laki 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi Wa KatiAta hivyo sio pesa mingi ni kama laki 5 na haizidi laki 6
Watu wana mind wkt unaambiwa katumia zaidi ya laki sitaHio daladala labda imshushe kila mtu getini kwake😂 na hizo bia muwe mnauziwa!
Kwani kulikuwa Kuna ulazima wowote mhudumu kuwa na MATACLE makubwa.?Siku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli kariakoo-tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Usimpangie mtu matumizi kwenye pesa yake i see, we unapangiwa matumizi kuwa mpe mjomba ako mpe mme wa dadaako?Pole dadaa kwa tabu ulizozipata..hiyo fedha laki sita bora ingeenda kuwasaidia wasiojiweza tu!
Ulitakiwa uchukuwe clip dada akiwa ndan ya gari ili tuamini je kama kapiga tu picha kasimama hapo njee! Na tena umepiga wewe huyo hiyo na inawezekana kabisa ni shemeji, ahsante kwa kutuonesha shemeji yetu, JF mna mambo na hivi vitu vinapanda bei kila kukicha tutaona drama kibao..Huyu dada amekodi Bus la ABOOD akiwa yeye na Mwanae tu basi zima Bus limetoka Morogoro hadi Dar es salaam tena kupitia Bagamoyo , lengo ni kufurahi tu yeye na mwanae. Amelipia zaid ya Laki sita kukodi gari hilo.
View attachment 2052624
Wanasemaga:Anaitwa nani?
Weka namba yake ikibidi nimpe ushauri wa mambo mbalimbali.
Usipangie watu maisha, unajua kazipataje?!Pole dadaa kwa tabu ulizozipata..hiyo fedha laki sita bora ingeenda kuwasaidia wasiojiweza tu!
Hahahah, haipingwi mkuuSi unajua wadau wa jf warembo wakarii
Ugonjwa wangu huo mguu na nnyaaa mzee
Ova
Bonge la wazo mkuu, tutafute mtaji tufanye implementationSiku moja wabuni daladala yenye kiyoyozi ya kukaa watu chini ya nne, meza safi, viti mzunguko vya kutazamana, counter yenye bia, mhudumu mwenye matacle makubwa, dereva mstaarabu mwenye mwendo wa bibi harusi, muziki safi na dj wa mkale.
Naamini hiyo daladala haitakosa wateja wala bata.
Nauli kariakoo-tegeta iwe 10000 hivi.
Yaani ninyi mmebanana kwenye mwendokasi mnawaona wenzenu wamekaa kwa kukunja nne na glass ya safari baridi kwenye daladala ya upande wa pili.
Sawa bwana kuuu, ungemalizia tu maulitakiwa uchukuwe clip dada akiwa ndan ya gar ili tuamini je kama kapiga tu picha kasimama hapo njee! na tena umepiga ww huyo hyo na inawezekana kabisa ni shemeji,, ahsante kwa kutuonesha shemeji yetu,, jf mnamambo na hiv vtu vinapanda bei kila kukicha tutaona drama kibao..
😂😂Wengine watazungukanayo.Hio daladala labda imshushe kila mtu getini au bar nzuri😂 na hizo bia muwe mnauziwa!
Sema hii Idea nzuri sana😂 maana dereva akipiga trip zake 3 tu kakamilisha hesabu watu maximum wawe 10 tu ndani halafu wahudumu wawili na dj pamoja na dereva tu😅
Kwa wabongo wanavyopenda raha lazma watakuwa wanazipanda daily! Mtu anaona bora aanze kumenya tu ndani ya dala dala mumshushe kwenye bar anayotaka njia ya tegeta
😁😁😁😁Anaitwa nani?
Weka namba yake ikibidi nimpe ushauri wa mambo mbalimbali.
[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine watazungukanayo.