Dada aliyemuua jambazi katika harakati za kumuokoa mume wake: Sheria imekaaje? Je, ana kesi yoyote ya kujibu?

Dada aliyemuua jambazi katika harakati za kumuokoa mume wake: Sheria imekaaje? Je, ana kesi yoyote ya kujibu?

Mwanamke kama huyo ndo superwoman sasa na si hawa wa mjini hawa wanaojishaua kwenye maredio na matv wakijifana masuperwoman
 
Kesi ipo.

Atashtakiwa kwa kuua.

Na yeye atajitetea kwamba alikua ana-act in self defence na kulinda mali zake.

Tukumbuke kosa la jinai mshtaki ni jamhuri hivyo siyo lazima awepo wa kushtaki ndiyo kesi ifike mahakamani.

Kwakua mtu ana haki ya kulinda uhai wake kivyovyote natarajia asikutwe na hatia. Ila kesi ipo.
 
Kuna kundi likiua hamleti hivi vidubwasha vyenu vya mawazo.
Je dereva wa Lori na Kontena lake aliyeua jana ana Kesi ya kujibu kama yupo hai?
 
Sheria zetu zinasemaje juu ya hili?

======

MWANAMKE ALIYEPIGANA NA JAMBAZI MWENYE BASTOLA NA KUFANIKIWA KUMUUA

Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.

Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.

Chanzo: Global TV
police wanavopenda misifa yaani baada kuuwa wenyewe jambazi ili apate misifa, ukauwa wewe.... watakuhenyesha apo mtonyo wa nguvu lazima aisee... utackia lete tumalize kesi!
 
Sheria zetu zinasemaje juu ya hili?

======

MWANAMKE ALIYEPIGANA NA JAMBAZI MWENYE BASTOLA NA KUFANIKIWA KUMUUA

Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.

Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.

Chanzo: Global TV
Habari inaonesha alimpiga gongo halafu wananchi "wasiozipenda kampuni hewa za uchukuzi"(wenye hasira kali na kuwachukia majambazi) ndiyo wakampiga hadi akasema "haleluya tutaonana"!Sasa,mbona yeye hahusiki na kuua?Alimdhibiti kwa gongo asitoroke tu.
 
Sheria zetu zinasemaje juu ya hili?

======

MWANAMKE ALIYEPIGANA NA JAMBAZI MWENYE BASTOLA NA KUFANIKIWA KUMUUA

Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.

Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.

Chanzo: Global TV
HUYO DADA NI SHUJAA/Japo polisi wanaweza kuhitaji chochiote kiajabu
 
hapo kuna self defence, defence of property na defence of a person. lakini hadi hiyo ifanyike jalada linatakiwa kufanyika committal liende High Court (ambayo ndio mahakama inayoshughulikia mauaji) na yeye akiri kosa kwamba ni kweli aliua lakini alikuwa anatetea mumewe, yeye mwenyewe na mali zao. atakuwa acquitted.
Kama sheria inafuatwa, je cases ambazo majambazi wanauawa na polisi katika matukio, huwa utaratibu huu unafuatwa?
 
Back
Top Bottom