Man are for many women, woman are for one man.Nimeona hiyo video clip ya Lemonade ya Beyonce, Ni pure diss kwa Jay Z. Mi huwa siamini haya mambo lakini sass mama naanza kuamini yule mjomba anapiga mechi za ugenini. Duh, wanaume haturidhiki yaani Alivyo Bey vile. Bado unatafuta mchepuko!
Mimi hapo tu ndio huwa nachoka!Nimeona hiyo video clip ya Lemonade ya Beyonce, Ni pure diss kwa Jay Z. Mi huwa siamini haya mambo lakini sass mama naanza kuamini yule mjomba anapiga mechi za ugenini. Duh, wanaume haturidhiki yaani Alivyo Bey vile. Bado unatafuta mchepuko!
[emoji35] [emoji35]Man are for many women, woman are for one man.
kivipi?Mimi hapo tu ndio huwa nachoka!
Hili sakata la Jay na Bey limenijenga sana kifikra.
Usiulize kuvipi.
Ushaipakua iyo album yke nimeipenda quote yke etBeyonce’s LEMONADE trailer
hahaha usiseme hivyo unaniumiza mie mwajumaAnachitiwa Beyonce itakua mwajuma ndala ndefu ha ha ha mapenzi buana.......
I agree hapo sio kichapo ni jay z kaihandle situation kiustaarabu zaidi lakini duh inaonekana humpendi queen b,so you think she is there on top just because of jay?mi naona she choose to stick around kwasababu anampenda nothing more.....Hii habari imeandikwa kinafki sana. Jay-Z hakupokea "kichapo", bali alifanyiwa fujo na akai-handle situation like a true man.
Jay can wife any chick, and make her a queen. Bey can't even find a Jay's match, let alone an upgrade. She knows, hence she sticks around.
Div five product you should write is not are because MAN is a singular while ARE discribes a plural.Man are for many women, woman are for one man.
I agree hapo sio kichapo ni jay z kaihandle situation kiustaarabu zaidi lakini duh inaonekana humpendi queen b,so you think she is there on top just because of jay?mi naona she choose to stick around kwasababu anampenda nothing more.....
hapana si kweli...kwanza mi sijui hata album ya mwisho ya jay but I can tell you bey hata wakiachana leo hawezi kuchuja,wadada wengi ndio role model wao huyo na wanawake ni wengi...Not really, simchukii Bey. And yes, she's on top cuz she's married to a rap god. Attitude ya Bey wakati Shaolinge anamshambulia Jay, haionyeshi kumpenda mshkaji kabisa.
Bey anabaki cuz anaogopa kuondoka. She's so insecure.