Duuuhhhh!!Habari zenu wanajamvi
Ki ukweli nimetokea kuvutiwa na huyu Dada
Yan hata nikiwa na njaa nikiona kale kapcha ma
Kake k wenye avatar najikuta nasiba
We Dada una mzizi au
Mana cjakuona live lakini nakupenda
Veep umeolewa weye,yan kama umeolewa mumeo ana faidi AF unaonekana una huruma pls nihurumie mdogo wako
Ninavutiwa sana na wew emyta wangu
Wakuu nisaidieni kumshawishi Dada
Mpe mdogo wako kama yupoNianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.
Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.
Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Hii ni sawa na kibao cha uso kwa jamaa.Nianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.
Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.
Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Daahh!Mh! [emoji106][emoji1419][emoji1419][emoji1419][emoji1419][emoji1419][emoji1419][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]
Daahh!
Kumbe kuna mtu amemzimikia dada yangu aisee
Wakome aiseeNi kwa hekima na busara zake anazoonyesha humu. Wachumba kibao wanamuibukia kutaka ushemeji na Mwifwa.
Wakome aisee
Ebu wamuache dada yangu afurahie maisha yake ndoa bana
Dada yangu ungetupia kamzinga bana, kale kamradi ketu katakamilikaje sasaNianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.
Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.
Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Na amkome dada yangu kabisaHahahaha kumuita mdogo wako umemkata stimu zoooteee. Upo vizuri emmy
Nitaandamana Aisee.Hahahahaha lol! Njemba akizembea atapinduliwa vidume vinavyomhusudu dada yako si vya mchezo mchezo.
HahahahahaaaaNatuma maombi kwa mods waweke dirisha la chabo pm.nakosa uhondo mie
Kutupia mizinga nacho kipaji ujue, yaani fursa ya hivi ikijitokeza ni unapiga kizinga kitakatifu.Dada yangu ungetupia kamzinga bana, kale kamradi ketu katakamilikaje sasa
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Itakuwa nakaribia kumpita ujue.
Kibibi mie. [emoji85] [emoji85]
Na kweli kakuamulia aisee maana hadi mtu akuanzishie uzi ujue ameumia vya kutosha muda mrefu sana.Hahaaaa. Ameniamulia aisee.
Mie mzima kabisa kaka. Habari ya jumapili?
Hicho kipaji nilibarikiwa mimi ila nyie mmeshindwa kabisa, antie yako Heaven Sent nae ndio kabisaaaa hata kurithi kwa bahati mbaya tu alishindwa.Kweli kabisa dada ake.