Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Duuuhhhh!!Habari zenu wanajamvi
Ki ukweli nimetokea kuvutiwa na huyu Dada
Yan hata nikiwa na njaa nikiona kale kapcha ma
Kake k wenye avatar najikuta nasiba
We Dada una mzizi au
Mana cjakuona live lakini nakupenda
Veep umeolewa weye,yan kama umeolewa mumeo ana faidi AF unaonekana una huruma pls nihurumie mdogo wako
Ninavutiwa sana na wew emyta wangu
Wakuu nisaidieni kumshawishi Dada
Nilikiwa bado sijaiona hii Dada yangu emmyta ebu mpige mzinga wa kueleweka tukanunue kile kiwanja tumalizie kamradi ketu.