Dada emyta moyo wangu umekutunuku

Dada emyta moyo wangu umekutunuku

Habari zenu wanajamvi
Ki ukweli nimetokea kuvutiwa na huyu Dada
Yan hata nikiwa na njaa nikiona kale kapcha ma
Kake k wenye avatar najikuta nasiba
We Dada una mzizi au
Mana cjakuona live lakini nakupenda
Veep umeolewa weye,yan kama umeolewa mumeo ana faidi AF unaonekana una huruma pls nihurumie mdogo wako
Ninavutiwa sana na wew emyta wangu
Wakuu nisaidieni kumshawishi Dada
Duuuhhhh!!

Nilikiwa bado sijaiona hii Dada yangu emmyta ebu mpige mzinga wa kueleweka tukanunue kile kiwanja tumalizie kamradi ketu.

 
Nianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.

Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.

Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Mpe mdogo wako kama yupo
 
Nianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.

Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.

Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Hii ni sawa na kibao cha uso kwa jamaa.
 
Yaani mtreat mwanamke mpaka unamuacha mwenyewe aamue kama yuko single au double, sio habari za kuanza kuulizana sijui una mtu na bla bla kama hizo.

Kijana umefeli.
 
Nianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.

Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.

Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Dada yangu ungetupia kamzinga bana, kale kamradi ketu katakamilikaje sasa
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahahahaha lol! Njemba akizembea atapinduliwa vidume vinavyomhusudu dada yako si vya mchezo mchezo.
Nitaandamana Aisee.

Sasa ngoja nitunge wimbo wa kuimba wakati naandamana
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hahaaaa. Ameniamulia aisee.

Mie mzima kabisa kaka. Habari ya jumapili?
Na kweli kakuamulia aisee maana hadi mtu akuanzishie uzi ujue ameumia vya kutosha muda mrefu sana.

Za jumapili njema sana dada.
Kama uko mzima nafurahi sana, pia nikutakie mwisho wa jumapili iliyo njema kwako na familia yako katika ujumla wake
 
Back
Top Bottom