Dada, kama unataka kuolewa zama hizi kaa kijanja

So unataka kusema bikra haina uzito kwa mwanaume kuchagua mke sahihi? [emoji848]
 
Umesema vyema,lakini mbuzi za siku hizi unakuta zinavesha pete wanawake waliobeba makopo katikati ya mapaja yao huku zimepiga magoti.

Hao wazazi wanavyotamka hizo mahari sasa,utadhani wanauza dhahabu
 
Wewe ndio unawapotosha Yani kashalala na wanaume kibao kasha mwanamke ameshaliwa sana sababu ya kukosa hela ya marejesho aje anisubirishe Mimi Hadi ndoa
 
Mr kumpata mwanamke anaefundishika labda at least apate binti ambaye yupo around 18-22 ndo unaweza kumtrain vzr na yupo flexible sana kujifunza mambo mengi pia anakua hajaumizwa sana na mahusiano maana wengi ndo unakuta wanahitimisha safari zao za kielimu wanakua wameonjwa onjwa tu kawaida.

Nje na hapo ni mwanamke akupende ww Kwa sababu fulani either Mali, kipaji, kuwa vzr kwenye tano Kwa sita, mwanamke kuhitaji ndoa Kwa sababu ya pressure ya umri au kuhitaji mtoto katika mazingira kama hayo mwanamke anakubali kurisk mda na resources zake ili ajifunue falsafa zako ili akushawishi umuoe
 
Anha,vizuri!

But bora ukawa neutral maana leo hujui maana ya ulichoandika pale juu siku utakapojua utakosa wa kumlaumu,sikuombei ufike huko.
sijaandka nikiwa nmelewa npo timamu kwaio najua,,ila sio mbaya kuandka unachofkiria kwa mda uo haswaaaa hum jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…