Dada Mkubwa tunakupenda na tunakukubali, kama ni wewe, ni wewe tu, hakuna mwingine! Usiruhusu uhuni huu, fuata Katiba na the due process, utabarikiwa

Dada Mkubwa tunakupenda na tunakukubali, kama ni wewe, ni wewe tu, hakuna mwingine! Usiruhusu uhuni huu, fuata Katiba na the due process, utabarikiwa

Japo umetoa NB lakini hichi kizazi Cha kusema kwa kuzunguka zunguka na kuficha hata kwa kidogo japo imeeleweka kwa kiasi , Inabidi kiishe au kifutike kabisa.

Kizazi jeuri chakuhoji na kusema pasina na kificho Cha level yoyote ya USiri iwe Stiri, Siri sana au imezuiliwa, Ndio kitainyanyua Tanzania.
Lakini hizi ngonjera za kubembelezana kama Nchi Ni Mali ya mtu Mmoja au ki grupu Cha watu kutaendelea kuwa na Chawa wa umri wote.
 
Kaka yangu Pascal Mayalla unahangaika sana ndugu yangu. Yaani badala ya kuwa straight to the point unazunguka wee ilimradi uonekane haujamkosoa mama.

Lakini ndugu yangu nikukumbushe kwamba wewe ni mkristo, naa maadiko ya kikristo yanatukataza sana kuwa ndumilakuwili ieleweke wazi WEWE NI BARIDI AU JOTO NA SIO VUGUVUGU.

Wewe ulipaswa unyooshe rula (maelezo) kwa huyo dada yako kwamba jambo ulilofanya kwenye ule mkutano wa Dodoma ni UBAKAJI WA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA HIVYO TUBU URUDISHE MCHAKATO HALISI WA KUMPATA MGOMBEA WA CHAMA KWA KUPIGIWA KURA.
 
Wajumbe ñi wanafiki sana! Hela zimeisha ndo mnakuja kulia mtandaoni! Kwenye kikao si mlikuepo?? Mtu ambaye sio mnafiki ni mpina tu! Yeye hakuunga mkono kwa kutosimama kushangilia lakini wengine wote ni wachumia tumbo tu! Pesa ikiisha ndo akili zinawarudi
Poa poa tumekupata. Haya turudi kwenye mada husika, unaizungumziaje ibara ya 100 ya katiba ya CCM?
 
Dodoma ulikuwepo na yalio jiri uliyashuhudia.
Hapa umekuja kuleta hoja ambayo pia umejitahidi kuzunguka weeeee hata sijui unahofia nini kumtaja wakati andiko lako nime muweka wazi.
Anyways........
Naskia unasubiria uteuzi, na kuna tetesi kwamba uliomba kuonana nae lakini black suits wakakutosa.
Nami sijataja jina kama ulivyo elekeza mkuu...😊
Huyo ni mwanasheria alafu mwandishi nguli ambaye keshapitia misukosuko mingi kutokana na maandiko yake kwahiyo mpe heshima yake usije dhani huyo ni sawa na Zero IQ.
 
Nilishangaa sana katika wakati ambao Upinzani ulionekana uko vipande vipande, bado MTU anataka mseleleko?

Hata hivo nikaandika, Kosa lilelile alofanya JPM kufurahia habari za Machawa kumtaka aongoze milele, ndio hilohilo analofanya Dada yako yaan wote walifurahia uvunjajinwa Katiba.


Ukiangaliaa Kwa mbali sana, Utagundua Amejaa kwenye Mfumo wa Kuondoshwa kama ilivyokua .

Mungu anaweza kukupa Uongozi ila Kwa mpito tu yaan kipindi fulan, kikishapita, Usilazimishe .
Haogopi wapinzani bali anaogopa wadogo zake wa damu.
 
Kaka pascal pole, na hongera kwa hili andiko japo siku ya mkutano mkuu waliuliza kabisa nani hapokei hii taarifa, wajumbe wote hakuna alie jitokeza ila baada ya hili inakuaje wajumbe wa mkutano mkuu mna ona si sheria?

Huenda wapo watu zaidi ya mmoja wanao elewa kifungu na taratibu zilizo kiukwa lakini hiyo nayo ni taasisi na board members wote walikuwepo na ikapitishwa kwa kauli moja naona kama ilikuwa nnje ya kanuni ilitakiwa kupingwa ile siku.

Ila mchezo ulishaisha na ulikuwa wa dakika 90 na kipenga kikapigwa matokeo yamesha tolewa, nadhani ni muda wa kungojea msimu ujao mpya ukianza maana hii ilikuwa kama mapumziko mafupi na kuvunjwa kwa kanuni katikati ya mchezo mlitakiwa kusema muda ule, ila kwa sasa kurudi tena dimbani haiwezekani kaka Pascal.
 
Dodoma ulikuwepo na yalio jiri uliyashuhudia.
Hapa umekuja kuleta hoja ambayo pia umejitahidi kuzunguka weeeee hata sijui unahofia nini kumtaja wakati andiko lako nime muweka wazi.
Anyways........
Naskia unasubiria uteuzi, na kuna tetesi kwamba uliomba kuonana nae lakini black suits wakakutosa.
Nami sijataja jina kama ulivyo elekeza mkuu...😊
Wala siyo anaomba uteuzi he is just a whistle blower,kuna fukuto.
 
Kaka yangu Pascal Mayalla unaangaika sana kujipendekeza ndugu yangu. Yaani badala ua kuwa straight to the point unazunguka wee ilimradi uonekane haujamkosoa mama.
Lakini ndugu yangu nikukumbushe kwamba wewe ni mkristo, naa maadiko ya kikristo yanatukataza sana kuwa ndumilakuwili ieleweke wazi WEWE NI BARIDI AU JOTO NA SIO VUGUVUGU.

Wewe ulipaswa unyooshe rula (maelezo) kwa huyo dada yako kwamba jambo ulilofanya kwenye ule mkutano wa Dodoma ni UBAKAJI WA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA HIVYO TUBU URUDISHE MCHAKATO HALISI WA KUMPATA MGOMBEA WA CHAMA KWA KUPIGIWA KURA.
Afande Mafwele yuko standby ujue.
 
Back
Top Bottom