CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Alishasema yeye ni chura kiziwi.Sidhani kama dada mkubwa ana masikio kwenye hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishasema yeye ni chura kiziwi.Sidhani kama dada mkubwa ana masikio kwenye hili
Na ndio mpango wa Mungu ulipo,kwahio japo umempa ushauri murua,hataufuata ndiposa sisi wapenda mabadiliko tunajua kwamba meza inaenda kupinduliwaUkiendelea na kilichofanyika, you'll have everything to loose and nothing to gain!.
Nchi hii tukisimamia vizuri hii slogan ya No Reform No Election itakomesha hata tabia ya mwenyekiti wa ccm taifa kuleta mgombea mmoja kwa wajumbe kama surprise ya pete ya uchumba na kupigiwa kura ya ndio na hapana kama kipindi cha mfumo wa chama kimoja.Kaka yangu Pascal Mayalla unaangaika sana kujipendekeza ndugu yangu. Yaani badala ua kuwa straight to the point unazunguka wee ilimradi uonekane haujamkosoa mama.
Lakini ndugu yangu nikukumbushe kwamba wewe ni mkristo, naa maadiko ya kikristo yanatukataza sana kuwa ndumilakuwili ieleweke wazi WEWE NI BARIDI AU JOTO NA SIO VUGUVUGU.
Wewe ulipaswa unyooshe rula (maelezo) kwa huyo dada yako kwamba jambo ulilofanya kwenye ule mkutano wa Dodoma ni UBAKAJI WA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA HIVYO TUBU URUDISHE MCHAKATO HALISI WA KUMPATA MGOMBEA WA CHAMA KWA KUPIGIWA KURA.
Hofu kwa binadamu ni ya muda mfupi na Ndiyo maana hakuna anayeweza kubuni kinga ya hofu ya zaidi ya mwaka mmoja yaani kifaa kinachoweza kutabili hofu ya miaka 2 ama zaidi inayo kuja wengi tunakuwa na hofu kwa muda wa miezi mitatu hata ukitendwa ile hali ya kulifikiria jambo haidumu kwa muda mrefuNimesoma bandiko lako, hongera kwa kushauri! Kuna mambo kadhaa hayana mbadala, kama vile MUDA, MAJIRA, KUCHOKWA, HOFU YA KISICHOONEKANA, DESTURI, N.K. Ukaidi wa mtu dhidi ya mambo mema kwa wengine walio wema, huzidi kuharakisha jambo jema kujiri/ kutokea....
Sawa Kaka Yake, Ni vema Mjomba umeweza kumshauri Shangazi.Sababu zilizopelekea machukizo kwa kaka yako ni nyingi tuu naomba tusizitaje humu ili kumwacha apumzike lakini sababu hizo zinapoibuka awamu yako, naomba tusizinyamazie!.
Katiba ni vijitabu tu, tufate busara inatoshaUshauri mzuri mwenye kushauriwa maamuzi ni yake ila ni jambo jema katiba iheshimiwe!
UKUMSIKIA ALIVYO SEMA KUWA KATIBA YA NCHI NA MSAHAFU NA BIBLIA NI VIJI VITABU TU HAKUNA CHA MAANA NI VIJI VITABU TU ...SEMBUSE HIYO KATIBA YA CCM ‽ hiyo ndiyo kijikitabu cha kuchambia kabisa mbele yake.😁😁
Thinking about thisKwa matukio yote ya dada na kwa namna Chadema inavyopractise demokrasia ni rahisi sana kupata mass support pamoja na ushawishi wa kimataifa.
Yaani JK analazimisha kusigina katiba ya nchi na chama kwa maslahi finyu ya familia yake ili kushibisha matumbo yao yasiyoshiba kamwe? Hii ni ajabu sana.