fundimchundo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2010
- 739
- 1,032
Just thinking aloud:
Ingetokea kwenye Mkutano Mkuu wa CHADEMA, likatokea Tangazo kwamba Kamati Kuu imeamua kuleta jina moja tu la Makamu Mwenyekiti ili kuthibitishwa na Wajumbe wa Mkutano Mkuu.
Hali ingekuwaje?
(Just thinking aloud).
Wachambuzi wa Siasa na Demokrasia wangekaa kimya, kama walivyokaa kimya baada ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma?
UHALISIA HAPA UKO WAZI.
Sisi Watanzania bado tuko nyuma sana ya Utaratibu wa Kidemokrasia hapa duniani.
Ingetokea kwenye Mkutano Mkuu wa CHADEMA, likatokea Tangazo kwamba Kamati Kuu imeamua kuleta jina moja tu la Makamu Mwenyekiti ili kuthibitishwa na Wajumbe wa Mkutano Mkuu.
Hali ingekuwaje?
(Just thinking aloud).
Wachambuzi wa Siasa na Demokrasia wangekaa kimya, kama walivyokaa kimya baada ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma?
UHALISIA HAPA UKO WAZI.
Sisi Watanzania bado tuko nyuma sana ya Utaratibu wa Kidemokrasia hapa duniani.