Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Kwani ulishindwa nini kumuomba namba wewe mpaka uombe kwa rafiki yake? Hata ningekua mimi cha kwanza ntakuuliza umepataje namba yangu halafu baada yapo ndio nikuulize una shida gani

Halafu hakuna kitu kinawaudhi mabinti kama kuchukua namba yake kupitia marafiki bila ridhaa yake, mwingine hata kama ana nia ya kukubali ombi lako anasita, anaona kama wewe sio mwanaume jasiri

Mwisho, usimhukumu kwa sababu ya umri, 28+ has nothing to do with her relationship status, pengine she has goals to achieve kabla hajajiingiza kwenye commitment za mahusiano, au pengine marriage is not her priority for now na pengine ana sababu zake binafsi au ana mahusiano yake ya siri, you guys are too judgemental

All hail the Queen [emoji1477].! Gachu Mama
 
Nilichogundua mtoa mada anatatizo la Ubahili au Hajui kucheza na saikolojia ya wanawake.

Alitakiwa
kuiseti attention ya uyo mwanamke, mpaka ahisi kua uyu mtu ana dalili za kua na hisia za kimapenz na Mimi.
Sio ile,
ABRUPTLY, ANAMPIGIA ANAMSHTUKIZA.

Mpk Mdada wa watu anafikiri kavamiwa.

Nikwambie tu mtoa mada,
Ukishajijua unamhitaji mwanamke,
Basi mtengee bajeti na usiogope kuspend kwa ajili yake.

As long as unampenda na unahitaji kua nae.

ULICHOTAKIWA KUFANYA,
ZILE encounter alzokua unakutana nae ulitakiwa kurise attention yake, ajihisi someone special.

Sio unakaa na mdada wa watu, unampigisha tu stori wee mpk mate yanamkauka mdomoni, afu ata kinywaji tu humnunulii.

Afu ule MDA anakuaga anaondoka,
Na wewe unaitikia TU dry kiboya boya
"KWEHERI, SEE YOU TOMORROW"

Pumbav kabisa
"See you tommorow" ya wapi hata nauli ya BAJAJI hujamuachia[emoji21]

Mtoto wa watu,
Unamuacha mikono mitupu mpk anajutia muda alioupoteza na wewe.

Aisee,
WANAUME TUJIFUNZE KUA ROMANTIC,

Mahusiano hayana chama,
Aya Mambo yenu ya kuleta UCHADEMA UCHADEMA Kwenye mahusiano, kila kitu ni Nguvu TU full kupinga pinga, [emoji23](joke)

Mnakaa mnajisifia huo ujinga ujinga wenu sijui mnajiita Sijui WASOLID, mara sijui UWABATA.

Aisee,
MTAKUJA KUFA NA huo UGUMU WENU,

Ohoo, shauri zenu[emoji2]

Mkuu Ubahili muhimu..! Kutoboka sana alfu mwisho wa siku anakuambia mie nina mtu tayari sitaweza unakomaa lakini wapi ..! Suala la kujitoa kwa mwanamke linategemea attitude yake ikoje, wengine hata hiyo kupiga story anakuwa anajibu majibu fulani very disappointing.
Anyway, nimekuelewa Mkuu, Ahsante kwa Tips
 
Mwanaume kulaumu Laumu ovyo wanawake Ni ishara ya kutokujiamini.

Wanaume na sisi tuache sana lawama, Tutafute pesa.
Mambo mengine tuiachie natural selection ifanye kazi yake.

Tusijiwekee Sana guarantee ya kukubaliwa kila tunapomhitaji mwanamke.

Wanawake nao ni binadamu wanahaki na utashi wa kuchagua wale wanaowapenda .

UKIKATALIWA USIWEKE sana NONGWA, Utakuja kufa Depression.

Na dunia yenyewe hi tunapita,
Afu maisha yenyewe Aya mafupi unashindwa ata kuyafurahia.

Kiukweli,
Usitake kunambia Ndani ya wanawake billion 5 duniani, huwezi kosa mwanamke 1 atakae kuelewa na wewe ukamuelewa.

Haya,
Mambo ya kuforce force mahusiano na watu wasiowapenda, MWISHO wa siku mnatujazia server na nyuz zenu za kulia Lia mnatendwa kila mara.
Mkuu wewe ni matured man, wanaume wengi huwa hawataki kuelewa hisia za wanawake
 
Cariha ulikua wapi siku zote kamanda wangu[emoji23][emoji23]

Halaf nilipita arusha chaap.sana kwa haraka last week
Nipo kipenzi aisee nilikuwa tu siingii na kuchangia Sasa hivi siko huko Tena aisee
 
Nipo kipenzi aisee nilikuwa tu siingii na kuchangia Sasa hivi siko huko Tena aisee
Ooh jamani.. sad umeondoka huko..

Nilikimiss huku. Kuna watu wanajiachia achia ovyo kama huyu mletaada hapa[emoji23] unanisaidiaga sana kuwaweka sawa hawa wavulana. Mtu anafikiria ana haki ya kikubaliwa na mwanamke yeyote simply because ni 28 and above[emoji706][emoji706].
 
Mkuu Ubahili muhimu..! Kutoboka sana alfu mwisho wa siku anakuambia mie nina mtu tayari sitaweza unakomaa lakini wapi ..! Suala la kujitoa kwa mwanamke linategemea attitude yake ikoje, wengine hata hiyo kupiga story anakuwa anajibu majibu fulani very disappointing.
Anyway, nimekuelewa Mkuu, Ahsante kwa Tips
Mkuu,
Unatakiwa kuelewa kua Zama tulizokuapo sio zile za mwaka 47.

Miaka iyo,
Maisha yangeweza kwenda bila hata Nguvu ya pesa.
Alkadhalika Mahusiano nayo yangewezekana kabisa bila kuhusisha pesa.

Zaman,
Uko na Mpenz Wako amebanwa na kiu, uliweza kwenda ata kwa jirani kumwombea maji ya kunywa, na Mambo yakawa sawia.


Nikwambie TU UKWELI mchungu,
Kwa Sasa Zama izo za mahusiano ya bureau bure zimeshapitwa na wakati, Dunia inaenda Kasi sana na kila kitu kinahitaji pesa.

Ukishajiona unamhitaji mwanamke, Basi mtengee bajeti.

Narudia Tena,
"TENGA BAJETI YA MAHUSIANO"

Ndio,
Inatwa bajeti ya mahusiano kwa maana.

wewe Kama mwanaume mustakabali mzima wa mahusiano Uko mikononi mwako.

Bills na expenses zote za mahusiano zinapaswa kua chini yako wewe, na Hilo halina excuse labda mwanamke mwenyewe atake kuchangia TU for pleasure.

Vinginevyo,
Kama mfuko unakubana Sana, ACHANA kabisa na ishu za mahusiano kwa wakati huo. Concentrate na ishu nyingine.

KUA SINGLE SIO DHAMBI na SIO LAZIMA KILA WAKATI UWE KWENYE MAHUSIANO.

Kuna MDA unatakiwa kua nje ya mahusiano for Good ukizitafuta pesa,

Mambo yakikaa sawa
ukiingia Kwenye mahusiano Ni full kuenjoy TU.
 
Ooh jamani.. sad umeondoka huko..

Nilikimiss huku. Kuna watu wanajiachia achia ovyo kama huyu mletaada hapa[emoji23] unanisaidiaga sana kuwaweka sawa hawa wavulana. Mtu anafikiria ana haki ya kikubaliwa na mwanamke yeyote simply because ni 28 and above[emoji706][emoji706].
Yes dear MDA kidogo.
[emoji3][emoji3][emoji3] Huwa nawanyoosha wavulana wa jf kidogo aisee eti kwa vile mwanamke ana age flani basi awe ka jalala la jiji kupokea kila mwanaume tu pia umri ni baraka ni wengi hawajafikia huo umri, why judge someone kwa sababu hataki utakalo inasikitisha Sana.
 
Yes dear MDA kidogo.
[emoji3][emoji3][emoji3] Huwa nawanyoosha wavulana wa jf kidogo aisee eti kwa vile mwanamke ana age flani basi awe ka jalala la jiji kupokea kila mwanaume tu pia umri ni baraka ni wengi hawajafikia huo umri, why judge someone kwa sababu hataki utakalo inasikitisha Sana.

IMG_0070.jpg
 
Yes dear MDA kidogo.
[emoji3][emoji3][emoji3] Huwa nawanyoosha wavulana wa jf kidogo aisee eti kwa vile mwanamke ana age flani basi awe ka jalala la jiji kupokea kila mwanaume tu pia umri ni baraka ni wengi hawajafikia huo umri, why judge someone kwa sababu hataki utakalo inasikitisha Sana.
[emoji23][emoji23] hebu rudi uwape dozi hawa wajinga wajinga.

Halaf kwa uanaume gani alio nao hadi awe na mwanamke. Kwanza huyu bia alizokunywa amejaza kwenye daftari la Manka la madeni
 
We jamaa najuwa utakuwa unajipitisha pitisha hapo kwenye ki grocery unajiuzisha sura ,eneo la kazi la huyo du😂😂...

Kwanini hukumuomba namba sasa kama hiwa unaongea nae?
Kwanza ulitakiwa uanze kuyonhoza kabla ya namba hapo hapo face to face ..
Kijana unashindwa hata ku flirt 😂😂😂
 
Mzee mie sina utaratibu wa kuomba namba siku ya kwanza tu, nahitaji nikutane na mdada mara kadhaa ili niweze kumfuata. Huyu nilikuwa nikitaka kuomba namba moyo unasita alfu alikuwa na kampani ya rafiki zake. Hivyo ilikuwa ngumu kumuita alfu niombe namba
Hahahah we jamaa lazima utakuwa 21~24yrs
 
Sio domo zege Mkuu, trust me, huyu manzi mara nyingi wakati tulipokuwa tunapiga stori alikuwa wanakuja rafiki zake. Ukumbuke ni Glosari na ipo karibu na saluni ya Kike. Kumtumia rafiki yake ni njia pia ya kupata namba…! Kuna wengine wanapenda akiona umefanya efforts kuitafuta namba yake, It’s a Perspective issue.
Hakuna kitu kama hicho usijitete 😂😂😂
Nipe namba yake mkuu nikuunganishie !!
 
Back
Top Bottom