Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Common NAMES

ndio mana mwanangu jina lake ni Unique

na ntaendelea na mwendo huu huu

ili kuepuka mavitu kama ya namna hiii

Nilipewa suggestion ya common names kama 10

na yote yapo kwenye list hapo,but Niliyatia X yote

Nikaja na jina moja hivi "Nyamingusiii"
 
Common NAMES

ndio mana mwanangu jina lake ni Unique

na ntaendelea na mwendo huu huu

ili kuepuka mavitu kama ya namna hiii

Nilipewa suggestion ya common names kama 10

na yote yapo kwenye list hapo,but Niliyatia X yote

Nikaja na jina moja hivi "Nyamingusiii"
Hiyo mijina inafanya watoto wanataniwa shuleni wanaishia kukuchukia😎😎
 
Hahahahhahahah asubiri jumapili kwenye mlima wa moto[emoji23][emoji23][emoji23]
J2 ni kukubebana tu hakuna kutongozana ni ukimuona mtu unashika mkono BILA DALILI maana upepo ushafanya yake 😀 😀 😀 😀 😀
 
Kind of msumbufu hapa jamvini. Huku niliko mmhh I wish ningekua kama nilivyo hapa
huko ulipo mpoooole maskini sema ndo hakujui tu, laiti angejuaaaaa, asingezingua, ila usjali mkuu j2 siyo mbaaali tukutane Mikocheni B
 
Back
Top Bottom