Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Huyo namjua saaana!Alikuwa anampanga sema kakosea kitu kimoja tu, anakuwa mkweli saaaaaana😎😎
Msumbufu kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo namjua saaana!Alikuwa anampanga sema kakosea kitu kimoja tu, anakuwa mkweli saaaaaana😎😎
MmmhhhKind of msumbufu hapa jamvini. Huku niliko mmhh I wish ningekua kama nilivyo hapa
You know I wish ningekua naishi hivi..kawaida ya humu jamvini watu huishi maisha yale wasio weza kuyaishi in society. You know me right.. You never met me, even to hear the Tone of my Voices.Huyo namjua saaana!
Msumbufu kweli kweli
Unaweza Thibitisha ukinipa accessMmmhhh
Take it easy pal! don't take too serious its chitchatYou know I wish ningekua naishi hivi..kawaida ya humu jamvini watu huishi maisha yale wasio weza kuyaishi in society. You know me right.. You never met me, even to hear the Tone of my Voices.
Nadhani watu niliowahi kukaa nao hata saa 1 wanaweza kukuambia
Anhaaa kwahiyo kakupa upako ili uwe na maono kama haya nini🤣🤣🤣?Baba yangu ni REV. hatakubali
Na kweli My dear. Pia nina wasiwasi kanisoma vibaya.Mchukulie kama alivyo mumie, some people are just like that.. Kanishangaza pia!!
Denvers, No harm done but It's heartwarming to know that you care and took time out to say sorry.I'm sorry Cute b i was overdoing it... Sorry for calling you Mistress of lies while you're the Mistress of Beautiful
Ha ha ha ha ha ha ha ha haJ2 ni kukubebana tu hakuna kutongozana ni ukimuona mtu unashika mkono BILA DALILI maana upepo ushafanya yake 😀 😀 😀 😀 😀
Wazee wa unique names na majina ya kiasili, naomba nikukutanishe na gwiji mmoja wa kuitwa Bufa, Mtanzania khalisi anayesimama kinyume na majina ya kizungu..!! 😂 😂Common NAMES
ndio mana mwanangu jina lake ni Unique
na ntaendelea na mwendo huu huu
ili kuepuka mavitu kama ya namna hiii
Nilipewa suggestion ya common names kama 10
na yote yapo kwenye list hapo,but Niliyatia X yote
Nikaja na jina moja hivi "Nyamingusiii"
Usichoke Kipenzi. 😍😍Ng
Hapa nimechoka kabisa ujue Shadeeya😃
Thanks alot my Dearly Yemmie for ya forgiveness.. its real love that drove all this..Denvers, No harm done but It's heartwarming to know that you care and took time out to say sorry.
All is forgiven Johnny, and let's start over.
Jina ni IDENTITY ya mtuWazee wa unique names na majina ya kiasili, naomba nikukutanishe na gwiji mmoja wa kuitwa Bufa, Mtanzania khalisi anayesimama kinyume na majina ya kizungu..!! 😂 😂
You've already said, "it's real love".Thanks alot my Dearly Yemmie for ya forgiveness.. its real love that drove all this..
Don't know what to say lovie.. It's Love
Unajua nini love, huyu kafanya kama wale wasanii wanaochora watu kwa mkono....utajiskiaje unapita mahali halafu ghafla unakutana na ama picha yako au ya mtu unaemjua imechorwa vizuuri kwa mkono? Hapo lazima uchoke mpenziUsichoke Kipenzi. 😍😍
MmmhhhUnaweza Thibitisha ukinipa access
Usipanick kaka, was jokingYou know I wish ningekua naishi hivi..kawaida ya humu jamvini watu huishi maisha yale wasio weza kuyaishi in society. You know me right.. You never met me, even to hear the Tone of my Voices.
Nadhani watu niliowahi kukaa nao hata saa 1 wanaweza kukuambia
NotedDon't generalize, every situation is specific, treat it as it is
Cheers sweetUsipanick kaka, was joking