Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Huyo namjua saaana!
Msumbufu kweli kweli
You know I wish ningekua naishi hivi..kawaida ya humu jamvini watu huishi maisha yale wasio weza kuyaishi in society. You know me right.. You never met me, even to hear the Tone of my Voices.
Nadhani watu niliowahi kukaa nao hata saa 1 wanaweza kukuambia
 
You know I wish ningekua naishi hivi..kawaida ya humu jamvini watu huishi maisha yale wasio weza kuyaishi in society. You know me right.. You never met me, even to hear the Tone of my Voices.
Nadhani watu niliowahi kukaa nao hata saa 1 wanaweza kukuambia
Take it easy pal! don't take too serious its chitchat
 
Common NAMES

ndio mana mwanangu jina lake ni Unique

na ntaendelea na mwendo huu huu

ili kuepuka mavitu kama ya namna hiii

Nilipewa suggestion ya common names kama 10

na yote yapo kwenye list hapo,but Niliyatia X yote

Nikaja na jina moja hivi "Nyamingusiii"
Wazee wa unique names na majina ya kiasili, naomba nikukutanishe na gwiji mmoja wa kuitwa Bufa, Mtanzania khalisi anayesimama kinyume na majina ya kizungu..!! 😂 😂
 
Denvers, No harm done but It's heartwarming to know that you care and took time out to say sorry.
All is forgiven Johnny, and let's start over.
Thanks alot my Dearly Yemmie for ya forgiveness.. its real love that drove all this..
Don't know what to say lovie.. It's Love
 
Wazee wa unique names na majina ya kiasili, naomba nikukutanishe na gwiji mmoja wa kuitwa Bufa, Mtanzania khalisi anayesimama kinyume na majina ya kizungu..!! 😂 😂
Jina ni IDENTITY ya mtu

sasa inapotokea Watu 10 wapo mbele yako then wote

wanaitwa SweetieLee kunakua hamna maana tena ya jina ulilompa Mtoto

Mtu aitwe jina hata kuwe na watu 200 ukiita MAGUFULIIIIII atatoka mmoja tu

jiloge muite JONIIIIIIII uone hao raia watavyokukimbilia yani utakua na kazi ya kusema

sio wewe sio wewe sio wewe sio wewe NAMTAKA John Pombe Magufuli (utawaona kina joni wote wanarudi)

That means identity ya JOHN sio jina lake tunamtambua kwa identity ya jina la BABU

sasa ndio makorokocho gani hayo,Mpe mtoto jina Gumu then akishakua mkubwa Lazima alitie Swagg

kama wewe Ulivyotia lako "sweetie" Leee ila ukute jina lako halisi unaitwa "Leenyoroooooo"

sasa ili usitutishe ukaamua ulitie swagg saivi kitu kinasoma SweetieLee
 
Usichoke Kipenzi. 😍😍
Unajua nini love, huyu kafanya kama wale wasanii wanaochora watu kwa mkono....utajiskiaje unapita mahali halafu ghafla unakutana na ama picha yako au ya mtu unaemjua imechorwa vizuuri kwa mkono? Hapo lazima uchoke mpenzi
 
You know I wish ningekua naishi hivi..kawaida ya humu jamvini watu huishi maisha yale wasio weza kuyaishi in society. You know me right.. You never met me, even to hear the Tone of my Voices.
Nadhani watu niliowahi kukaa nao hata saa 1 wanaweza kukuambia
Usipanick kaka, was joking
 
Back
Top Bottom