Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Tako, nguvu asili ya mwanamke.

Ukizaliwa nalo yaani ukiwa na tako la asili ni tajiri tayari, ila ukiwa na la mchina mafanikio yatakiwa ya muda tuu.

Mafanikio nayo yanakuwa ya kichina.

Nimeogopa kuchungulia jina langu hapo, nisaidie unipe mrejesho tafadhali.
 
Majina yote hayo langu halipo. Mzee sijui alifikiria nini kunipa jina la Jiji moja hivi
Asante sana Mzee
 
Sawa ngoja nikabadilishe
 
Hebu ninong'oneze hako ka "experience "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemjuaje Mohammed nje ndani kwa kiwango hicho?? Utaniambia vizuri! Lasivyo nitakusemea!
 
Stive, Robert, Adam, Felix na Emanuel uko sahihi kabisa 100%
 
Wewe ulinidanganya kitu. Halafu ukiwa serious kabisa.
Kwenye upande wa kudanganyana wala usininyoshee kidole..kwenye watu waongo "You're the Mistress of Lies" Jiulize kimoyo moyo tu mangapi umenidanganya..nikagubdua kitambo tu ila sijawahi kusema kama umenidanganya.
Hahahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…