Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Kwenye upande wa kudanganyana wala usininyoshee kidole..kwenye watu waongo "You're the Mistress of Lies" Jiulize kimoyo moyo tu mangapi umenidanganya..nikagubdua kitambo tu ila sijawahi kusema kama umenidanganya.
Hahahaaa
Mpange mkuu, asijifanye kurukaruka😎😎
 
Nasubiri jibu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha.
Namjua vizuri sana. Yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Na wewe Umemjuaje. [emoji91]
Unitag tafadhali[emoji23][emoji41]
 
Kwenye upande wa kudanganyana wala usininyoshee kidole..kwenye watu waongo "You're the Mistress of Lies" Jiulize kimoyo moyo tu mangapi umenidanganya..nikagubdua kitambo tu ila sijawahi kusema kama umenidanganya.
Hahahaaa
Shhhhhhh kwa hiyo unanisema??
Mwanamke kudanganya kawaida sana ila mwanaume sio kawaida kabisa. Halafu nilikudanganya nini?
 

Wewe upo kwa jina lipi? Hivi Sheheh Yahaya bado yupo?
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha.
Namjua vizuri sana. Yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Na wewe Umemjuaje. [emoji91]
πŸ˜‚ πŸ˜‚
Nimeshawataja ninaowafahamu B, huyo Mohammed nilikuwa nakuzungumzia wewe, mie nilikutana na mmoja tu alikuwa c/mate na hatukuwa karibu so simfahamu vizuri..
 
Shhhhhhh kwa hiyo unanisema??
Mwanamke kudanganya kawaida sana ila mwanaume sio kawaida kabisa. Halafu nilikudanganya nini?
Mwanaume kudanganyana sio poa..pia mwanamke. Sikusemi.
Imagine unakua open afu mwenzio anakudanganya..mimi kukuongopea kidogo imeuma Yemie wakati wewe ndio ulifumfunza Johnny.
Basi nijibu swali hili "Uko wapi?
 
Na kwa upepo wa kisulisuli hawa Ni Airbenders
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…