Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Shauri yako, wenzako tunaandamana kwenda huko we baki home, uzeekee nyumbani 😉 😉 😎😎
Hahahhahha

Nimechagua kuzeekea kwa baba watoto wangu.

Uende salama..ukipata tokeo la upepo wa kisulisuli usinisahau card ya mchango.
 
Nakujibu tena kwa herufi Kubwa hapa Hadharani NIPO ARUSHA, NAFANYA KAZI ARUSHA, NINAISHI ARUSHA. Huo mkoa unaolazimisha kwamba nipo huko Nilisoma shahada yangu ya kwanza huko.
Hahahaaa Yemmie..
Mimi sijalazimisha bana..Tufanye umeshinda.
(Btw kama una courage ya kutaja Arusha ulipo kwanini huna courage ya kutaja huo mkoa mwingine )
🙂 🙂 Yield
 
Hahahhahha

Nimechagua kuzeekea kwa baba watoto wangu.

Uende salama..ukipata tokeo la upepo wa kisulisuli usinisahau card ya mchango.
Hilo usihofu ila kama vile tumeambiwa tutaoa bila dalili sijui kama kuna kuchangishana
 
Hahahaaa Yemmie..
Mimi sijalazimisha bana..Tufanye umeshinda.
(Btw kama una courage ya kutaja Arusha ulipo kwanini huna courage ya kutaja huo mkoa mwingine )
🙂 🙂 Yield
Nlikuambia MPANGE wewwe unataka ukweli, unaona sasa ushaharibu 😎😎
 
Hahahaaa Yemmie..
Mimi sijalazimisha bana..Tufanye umeshinda.
(Btw kama una courage ya kutaja Arusha ulipo kwanini huna courage ya kutaja huo mkoa mwingine )
🙂 🙂 Yield
Hamna sehemu kama ARUSHA ndio maana nina ujasiri wa kupataja.
Huko pengine achana napo mimi na wewe tunajua niwapi sio? Nilichotaka kukudhibitishia hadharani ni nipo Chugamaica tuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na sisi ambazo majina yetu ni ya Kiafrika mbona hujatuandika?
 
Hamna sehemu kama ARUSHA ndio maana nina ujasiri wa kupataja.
Huko pengine achana napo mimi na wewe tunajua niwapi sio? Nilichotaka kukudhibitishia hadharani ni nipo Chugamaica tuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Those stuffs are too personal.. Don't know why are bragging them here!! Nimekuelewa my Yemmie
Peace, Love and kisses as always meant to be
 
hahahahahahahah, kuna kaukweli kiasi fulani ma hata majina yakioanishwa na tabia tofauti itabaki kuwa na ukweli kiasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…