Dada yangu anaishi na bwana huu mwaka wa 4 hawajafika nyumbani kutambulishana wala kulipa mahari

Dada yangu anaishi na bwana huu mwaka wa 4 hawajafika nyumbani kutambulishana wala kulipa mahari

kaa kwa kutulia wahusika wenyewe washaelewana ebu wachana nao

Na iyo heshima unayoitafuta kkt
Ukoo wenu kuna watu kibao wanaishi ivyo ivyo dada yako sio wa kwanza na hatokua wa mwisho
 
Back
Top Bottom