Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 1,080
- 2,248
Kama weweWw ni ke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama weweWw ni ke?
Jibu swali we mtoto!Kama wewe
Naunga mkono hoja. 😁nenda wewe kajitambulishe!
Sawa mkuuJibu swali we mtoto!
We ni ke au me?Sawa mkuu
MeWe ni ke au me?
Huo utamaduni upo na unatumika mahali pengi sana hapa Tz mkuu.Hata likitokea tatizo gani, usikanyage hapo kwao.
Ikitokea dada yako ametangulia mbele za haki msikubali kuchukua maiti mpake alipe mahali.
Hiyo ndiyo desturi ya nyanda za juu kusini
Bila shaka atakuwa Christian maana wakristo wanakaa hata miaka 10 na wajukuu juu ila ndoa mpaka wapate wajukuu ndio wanaita kubariki ndoa.Mwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
Nenda kampindue dada yako, uchukue nafasi yake kwa bwashee halafu mshawishi aje kwenu kujitambulisha kabla hajakuoa.Mwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
Mkuu kila Jsmii inatamaduni zake kwahiyo Tamaduni zenu zinatofautiana na Tamaduni Nyingine kama Mira zenu zina ruhusu Dada zako kuishi kinyumba na Mwanaume mpo sahii kabisa na Kwa Mira za jamii nyingine hio Mira haipo haikubaliki binti azae kiolela bila ndoa wala wazazi kumjua huyo mwanaume kisha wazazi walee wajukuu, Mkuu kila kwenye familia Baba ana mfumo wake wa kulea watoto kutokana na mira na tamaduni alizo lelewa nazo, Mfano wewe kama dada zako wana zalishwa wanaleta watoto Nyumbani kwenu na wewe umezoe hivyo basi na wewe watoto wako wakike watazalishwa watoto watakuletea Nyumbani.Sasa ulitaka akizaa Hao watoto halafu ikatokea incidence ya kuachana na Huyo mwanaume watoto awapeleke wapi !?
Kwa Hiyo wewe Utakataa kuwasaidia watoto wa dada yako Au Utakataa kuwatambua Hao watoto kisa Tu Dada yako alipewa mimba na kuachwa na mwanaume aliyempa mimba !? Hiyo kama sio roho mbaya ni nini
Dada yako akishakuwa mtu mzima haupaswi kumpangia namna ya kuishi maisha yake ni jukumu lake yeye pia ana hisia ana penda pia kama unavyoweza kupenda wewe , Muhimu Tu asiwe mahaba na kufikia hatua ya kujiuza lakini hata akifikia hatua Hiyo pia wewe hauna cha kumfanya hayo ni maisha yake
Una puyanga tu, Mtu askisha kuwa mtu mzima tayari maisha yake yapo chini ya mamlaka yake Ana haki ya kuzaa kuanzisha familia and the likesMkuu kila Jsmii inatamaduni zake kwahiyo Tamaduni zenu zinatofautiana na Tamaduni Nyingine kama Mira zenu zina ruhusu Dada zako kuishi kinyumba na Mwanaume mpo sahii kabisa na Kwa Mira za jamii nyingine hio Mira haipo haikubaliki binti azae kiolela bila ndoa wala wazazi kumjua huyo mwanaume kisha wazazi walee wajukuu, Mkuu kila kwenye familia Baba ana mfumo wake wa kulea watoto kutokana na mira na tamaduni alizo lelewa nazo, Mfano wewe kama dada zako wana zalishwa wanaleta watoto Nyumbani kwenu na wewe umezoe hivyo basi na wewe watoto wako wakike watazalishwa watoto watakuletea Nyumbani.
Nendeni mkamtembelee dada huko anakoishiMwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
Duh!...Mkuu kikao cha mwisho cha wanaume tarhe mwezi huu ,nahis hukuwepo tulisema heshima ya familia hujengwa na kibunda sasa kama utataka kujenga heshima kwa misingi ya kulinda tamaduni basi unapaswa kuhama unapoishi uhamie makumbusho ya taifa ni hayo tu .
Unasemaa?!?Nenda kaishi wewe basi
Jamani wewe khaa🤒🤒😂😂Kaolewe wewe ..... Uchi si ni wake ....
Yaani ungefikaga form four sijui ungekuwa waziri.Nenda kaishi wewe basi