Wewe umetolewa posa?Nalinda heshima katika familia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umetolewa posa?Nalinda heshima katika familia mkuu
usijumuishe wote kwa ujinga wa dadako mkuuWanawake sijui akili zao zikoje
Wote mko hivyousijumuishe wote kwa ujinga wa dadako mkuu
Kama ni mwanaume litamkuta.

Ok sawa,sasa mwite dada yako uongee nae kiutu uzima unweleze kwa kituo,usimfokee wala kumtukana,mwambie umuhimu wa ndoa,hata kama hakuna sherehe mradi tu ndoa ifungweMwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
Watu wanachukulia poa sana ili jambo ila usiombe likukute,jamaa yetu mmoja ametoka hom vzr asubuhi kwenda kazin kamuacha wife nawatoto wazima kabisa yupo kazini mida yasanne taarifa inakuja mke kafariki chanzo chakifo nikumwagika damu kupita kiasi inasemekana alikuwa anachoropoa mimba mana mtoto wao wapili alikuwa bado mmdogo sana,ebhanaeeh wazee walikuja wanataka mali nafaini jumla milion 5 wazee wamesimika hawanautani hatakidogo,wazee wabusara wakaenda kuongea na wazee wenzao dau likashuka hadi milion 4 hapo wazee wakasema hawashuki tena nawanataka iyo pesa keshi,kufupisha nikwamba iyo pesa ilipatikana baada yahapo tukaanza kukaguana wenyewe kwawenyewe kwayoyote anaekaa namtoto wawatu kinyemera lazima akajitambulishenimesoma comment zote nimeona wengi mmemchamba sana mleta mada tena wengi mmekuwa wakali labda hata nyinyi mtakuwa mnaishi na mabinti wa watu kiholela..kwa ishu ya mleta uzi yuko sahihi pia kitendo cha kuishi na binti wa watu bila ww mwanaume kujitambulisha rasmi au japo kufahamika upande wa mwanamke hivi hamjiulizi vp ikitokea siku huyo mwanamke akafariki gafla geto kwako au kwa stress zake akanywa sumu au kujinyonga ndani kwako vp ukiambiwa umemuua au siku akapatwa na matatizo makubwa ya kuhitaji ushiriki wa familia yake na ww kwao hupajui wala hawakufahamu vitu vingine tusichukulie kirahisi jamani hatuyajui yajayo.!
Bado hujasema 😂🤣Mwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
na mamako ee bas sawaWote mko hivyo
Kamuoe wewe sasa ili umlinde vizuriNalinda heshima katika familia mkuu
na tiGo analiwaMwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
Ili dongo ni langu kabisa na nimekujua ila tambua dada ako na mimi tumekubaliana guishi hivi pole sana kwaMwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
Mimi nipo hapa tandika kwa shemeji mkuu huko urusi sikujui hata ndio wapimzee wa Russia mambo vipi
hahahaMimi nipo hapa tandika kwa shemeji mkuu huko urusi sikujui hata ndio wapi
Ww ni ke?usijumuishe wote kwa ujinga wa dadako mkuu
Muongee nn fanya kazi,fanya kazi ukiona dada yko jamaa anamtunza toshaSio mahari jomba waje tuongee