nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #101
Sio mahari jomba waje tuongeeFamilia ya nyoko?? Yan kijana umashoboka na mahali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mahari jomba waje tuongeeFamilia ya nyoko?? Yan kijana umashoboka na mahali?
Ndiyo; wanakosea sana lakini sio jukumu lako kukosoa au kulazimisha masahihisho. Wee subiri tu muda utafika ambapo watajua walikuwa hawajui wanakosea sana.Wanakosea sana mkuu
Una Akili wewe? Hujui mimi ni kaka yake ebo!Ndiyo; wanakosea sana lakini sio jukumu lako kukosoa au kulazimisha masahihisho. Wee subiri tu muda utafika ambapo watajua walikuwa hawajui wanakosea sana.
Hii mada iko out of mashimo.Wewe endelea kuchimba mashimo....mambo ya dadaako na shemeji yako waachie wenyewe
Cha kukshauri mkazanie jamaa atoe mahari.Sikuizi wanaume waku oa wameishaMwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
Wazee hawawezi kukosekana hata siku moja. Kama baba (biological father) hayupo lazima atakuwepo aliyeidhinishwa kuisimamia familia yenu. Kama aliyeidhinishwa anazembea jukumu lake hilo, basi wapo baba mdogo/mkubwa, wajomba au First born katika familia yenu. Hakuna kitakachoharibika au kushindikana. Wewe waache hao wajifarague kwa sasa kwa kuwa uzima upo. Likitokea la kutokea (japo hatuliombei) hakuna rangi wataacha kuona.Unajuaje kama wazee wapo?
Waje tu maskani tuyajengeCha kukshauri mkazanie jamaa atoe mahari.Sikuizi wanaume waku oa wameisha
Ndiyo. Inawezekana akili nilizonazo japo kidogo, zinaniwezesha nikushauri kwa nia njema tu kwamba Dada yako kwanza ni Haramu kwako na usimfuatilie sana esp.katika masuala ya kimapenzi. Unaweza hata kupotezwa kimasikhara kisa eti unampambania dada yako ambaye hata hajalalamika. Kwani wewe ndo ulimpeleka huko? Makubaliano baina yao unayajua wewe?Una Akili wewe? Hujui mimi ni kaka yake ebo!
Makubaliano gani haramu hayo?Ndiyo. Inawezekana akili nilizonazo japo kidogo, zinaniwezesha nikushauri kwa nia njema tu kwamba Dada yako kwanza ni Haramu kwako na usimfuatilie sana esp.katika masuala ya kimapenzi. Unaweza hata kupotezwa kimasikhara kisa eti unampambania dada yako ambaye hata hajalalamika. Kwani wewe ndo ulimpeleka huko? Makubaliano baina yao unayajua wewe?
Siwezi enda soma uzi vizuriKAMA DADAAKO ANAFAID NAWE NENDA MKAISHI WOTE NA SHEMEJI ILA UTALALA SEBULENI
Muulize mwenyeweTulia dogo. Kwani uyo dada ako aliondoka home akiwa bikira?
Nitumie namba yake pmMuulize mwenyewe
0008888888Nitumie namba yake pm