JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Pole sana.Mwaka 2018 alienda Dar-es-salaam kutafuta maisha katika harakati za maisha jamaa kajitokeza kua na dada. Cha ajabu huyu sister sijui ana Akili gani hua anakuja yeye tu maskani lakini bwana wake hajawai fika.
Yani hata barua kiufupi hajafata taratibu zozote za kiafrika hii imekaaje? Sijapenda.
Sijapenda kwakweli na hii ni kama kujishushia hadhi yeye na familia yetu. Kitendo hiki kinanipa hasira hata kuwasiliana na sister ni mara chache sana kwa mwaka.
Wanawake sijui akili zao zikoje. Ukitaka matusi jaribu kumuambia izo habari. Ni kweli wanaishi pamoja kama mke na mume ila stail yao Sijapenda naomba ushauri.
Hua sina amani hata kufikia kwao kuna watu ndugu wakienda wanafkia ila mimi hapana siwezi.
Kiufupi ni kwamba maisha ya mjini sio sawa na kijijini.
Dada yako kapata mtu wa kumhifadhi, shukuru tu.
Wengine kazi Yao kudanga Wala hawana mme anaejulikana.
Kikubwa mheshimu tu huyo Shemeji yako. Wewe na familia yako mutakula mema ya nchi siku akifanikiwa kimaisha.
Dada hawezi kuwa fala hata siku moja